Mamlaka ziinglie kati Uendeshwaji wa Mradi wa (BRT) Mabasi Mwendokasi

Mamlaka ziinglie kati Uendeshwaji wa Mradi wa (BRT) Mabasi Mwendokasi

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Ukiangalia the way huu mradi unavyoenda hasa kwenye kutoa huduma utagundua kuwa waafrica bila kusimamiwa na wazungu ni ngumu sana kujisimamia wenyewe.

Nimetoka hapo kituo cha kivukoni now, abiria ni wengi sana, folen imezunguka kama mara tatu au 4.

Ila cha ajabu hakuna magari yanayopakia, na kuna mengine yamepaki tu pembeni na mengine yanakuja na kushusha na kuondoka bila hata abiria.

Sasa ukiwa za tu kwa akili ndogo unashangaa the way mradi upo na mabasi mengi, lakini wakati huo huo abiria kuhudumiwa kwa wakati ni tatizo.

Mpaka watu wajae kama wanaandamana.

Mimi nadhan ni bora huu mradi akapewa mtu binafsi tu.
 
Hakuna mradi wa kijinga kama huu wa mwendokasi. Sisi watanzania tunawaza wizi tu. Angela Kairuki yupo busy kuzunguka kwa ma DED kuchota rushwa tu. Huu mradi wawape wahindi utaona.
 
Hakuna mradi wa kijinga kama huu wa mwendokasi. Sisi watanzania tunawaza wizi tu. Angela Kairuki yupo busy kuzunguka kwa ma DED kuchota rushwa tu. Huu mradi wawape wahindi utaona.

Waswahili Sisi hatuwezi kusimamia vitu vizuri
 
Ukiangalia the way huu mradi unavyoenda hasa kwenye kutoa huduma utagundua kuwa waafrica bila kusimamiwa na wazungu ni ngumu sana kujisimamia wenyewe.

Nimetoka hapo kituo cha kivukoni now, abiria ni wengi sana, folen imezunguka kama mara tatu au 4.

Ila cha ajabu hakuna magari yanayopakia, na kuna mengine yamepaki tu pembeni na mengine yanakuja na kushusha na kuondoka bila hata abiria.

Sasa ukiwa za tu kwa akili ndogo unashangaa the way mradi upo na mabasi mengi, lakini wakati huo huo abiria kuhudumiwa kwa wakati ni tatizo.

Mpaka watu wajae kama wanaandamana.

Mimi nadhan ni bora huu mradi akapewa mtu binafsi tu.
Na bado wanakata tiketi Kwa risiri za mkononi hiyo pesa inaenda wapi.
 
Back
Top Bottom