Mamluki kuondoka CHADEMA, hakuna athari yoyote kwa chama

Mamluki kuondoka CHADEMA, hakuna athari yoyote kwa chama

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mabibi na mabwana kwa vyama vilivyo na msukumo wa haki kama msingi wake mkuu, ni vyama vya kudumu na huendelea kuimarika kadri siku zinavyopita.

Vyama vya namna hii haviwezi kuhujumiwa kwa kuwekeza mamluki au hata kwa kununua watu.

Hakuna athari yoyote kwa vyama kama hivi kwa mamluki kuondoka.

Ukweli mchungu, vyama mahiri kama kilivyo Chadema havimtegemei mtu yeyote kwa ubinafsi wake. Si Nyalandu, Lowassa, Slaa, Sumaye wala Mbowe au yeyote anayeweza kudhani yu zaidi ya chama.

IMG_20210502_142635_930.jpg


Chadema ni kubwa mno kuifungamanisha na mtu yeyote.

Salama na Chadema ni katika kuwapa watu haki zao zikiwamo usawa na uwapo wa katiba muafaka.

Hazipo nyimbo za sayuni za kuimba Chadema. Kama mtu kaja Chadema kufuata nyimbo za Sayuni labda afikirie zaidi kuonana na askofu Rashid.

Nenda Nyalandu nenda hata ukumbukwe kwa lipi?
 
images (23).jpeg
Tunawatakia kila la heri wote waendazao



Chadema ilijifiaga hapa

Chama ni cha viongozi wala sio cha wananchi na hao viongozi ni wa kujiuza kwa mafisadi tuu mradi wabaki madarakani

images (23).jpeg
 
waokotaji poor them wanatumiwa na kuachwa solemba. Watu wamepigania chama miaka na miaka hawapewi hata ujumbe ndani mkoa ila mhamiaji anapita moja kwa moja hadi ngazi kuu na uenyekiti wa mkoa anaukwaa
 
Kuwa mwanachama wa chadema ni sawa na kucheza kamari

Ukweli mchungu ni hivi Chadema inatambua jitihada za wote walio jitoa kwa ajili ya chama bila ku compromise misingi ya chama. Yaani, kupigania haki, usawa na maendeleo yakiwamo upatikanaji wa katiba muafaka ya nchi.

Kwenye misingi hiyo hakuna aliye indispensable. Si Mbowe, Mnyika, wala mzee Mdee. Mtu ruksa kukengeuka ila misingi ya chama pale pale.

MV mapenzi nahodha alijitosa Bahrain na safari ikaendelea.

Wajameni, sembuse Nyalandu?
 
Back
Top Bottom