Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Mbona unajishtukia. Kwani kuna mtu kasema kuna athari yeyote ile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sizitaki mbivu hizi ...
Mbona unajishtukia. Kwani kuna mtu kasema kuna athari yeyote ile?
Ok.Miye ninakazia tu wala sijajishtukia kwa lolote....
Mbona kama hasira ni nyingi sana. Ina maana wewe uko vizuri na pazuri zaidi kuliko mtu kama JK😀Kuwa ccm ni wendawazimu uliotukuka. Heri uwe mfu kuliko uwe cccm.
Chadema ilijifiaga hapa
Chama ni cha viongozi wala sio cha wananchi na hao viongozi ni wa kujiuza kwa mafisadi tuu mradi wabaki madarakani
View attachment 1768974
Hujui Chadema wewe. Hawa siyo vile vyama rafiki vya akina mana Tanzania, mzee wa kiraracha wala yule mzee msukuma.
Ni nyumbu tu atakayebaki chademaTunawatakia kila la heri wote waendazao
Hata sijui.Kwani yule mhandisi mkuu anasema je kuhusu mabarabara na madaraja?
Hiiiiii bagosha!
Hata sijui.
Hata Nyalandu leo katoa pole.Ule msiba haukuwa mdogo.
Poleni sana ndugu zetu. Ile ni safari yetu sote.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Hata Nyalandu leo katoa pole.
Umenena yoteWanachama opportunists ni mzigo. Ni heri kutokuwa nao. Hao ni wanachama maslahi yao mbele.
CHADEMA walisanda mapema sn kwa huyu jamaaWanachama opportunists ni mzigo. Ni heri kutokuwa nao. Hao ni wanachama maslahi yao mbele.
Mataahira ni hawa hapa
Teh!😅,angekuwepo JPM mngesema wananunuliwa.Nafikiri kifo cha JPM kimeondoka agenda zote mfu za upinzani,kilichobaki ni kukizika kabisa hiki chama.Tunawatakia kila la heri wote waendazao
Mkuu ili upewe nafasi chadema lazima uwe na hela.waokotaji poor them wanatumiwa na kuachwa solemba. Watu wamepigania chama miaka na miaka hawapewi hata ujumbe ndani mkoa ila mhamiaji anapita moja kwa moja hadi ngazi kuu na uenyekiti wa mkoa anaukwaa