Mamluki kuondoka CHADEMA, hakuna athari yoyote kwa chama

Mamluki kuondoka CHADEMA, hakuna athari yoyote kwa chama

Chadema Daima Chelsea Daima
2059.gif
 
Chadema iko mioyoni mwa watu.

Kama Chadema ipo with or without mbowe, with or without Lissu nk. Wameondoka kina Kaburu, Slaa chadema iko imara.

Aje kuwa nani? Muda gani usubiriwe kuthibitisha hilo?

Chama mioyoni mwa watu ni shubiri mwitu kwa madikteta uchwara.
Asante mkuu. Lakini ukilinganisha uimara wa chadema before 2015 enzi za hao uliowataja na kwa sasa ni tofauti kidogo maana hata nafasi ya uwakilishi imepungua sana.
(Japo hapa ninawasiwasi kwamba hoja itakayofata ni kuibiwa kura)
 
Pamoja na kuwaita Mamluki ila CDM waliwapa nafasi kubwa chamani, mpaka Lazaro alihitaji urais via CDM......nadhani ni funzo kwa opozisheni pati za Tanzania

Nakazia hata Mbowe au Lissu au yeyote akikengeuka dhidi ya agenda hai ya Chadema iliyopo kudai haki, usawa na maendeleo ya watu iliyo na mustakabala mwema wa kupata katiba mpya hatimaye, kwetu mbona baridi kabisa?

Nakazia: Chadema hapendwi mtu!
 
Kuna kila dalili ya Wana Chadema kuchanganyikiwa

Ni mjinga tu anayeweza kusema hakuna athali Kwa wanaokihama Chadema, Waulize vizuri hao viongozi watakwambia jinsi inavyowauma maana usikute wewe hapa ni mpiga zumari mzuri wa Wembo tu huna hata Ile Kadi na hujawahi kihudhuria hata kikao kimoja cha chama, na pengine hujawahi hata kuichangia Kadi Yako ya chama, mnalsmaana basi
 
Kuna kila dalili ya Wana Chadema kuchanganyikiwa

Ni mjinga tu anayeweza kusema hakuna athali Kwa wanaokihama Chadema, Waulize vizuri hao viongozi watakwambia jinsi inavyowauma maana usikute wewe hapa ni mpiga propaganda tu huna hata Ile Kadi na hujawahi kihudhuria hata kikao kimoja tu cha chama na hujawahi hata kukichangia chama

Kuna kila dalili za wanachama mboga mboga kuchanganyikiwa. Kwamba hakuna athari kwa yeyote kuondoka Chadema be it: "Mzee Mdee, Mbowe, Lissu you name them."

Kwamba jahazi la Chadema ni imara no matter what, poleni sana.

Hiyo ndiyo Chadema inayowaacha chama mboga mboga hoi bun taabani wasijue kushoto wala kulia.

Hivi Pole pole bado ataendelea kutoa malipo ya buku 7 kuendeleza vita vya mataga mitandaoni?

Vipi mataga nao wataendelea kuwapo awamu hii ambayo kina bushiri wametambulika kuwa ni mizigo?
 
Kuna kila dalili za wanachama mboga mboga kuchanganyikiwa. Kwamba hakuna athari kwa yeyote kuondoka Chadema be it: "Mzee Mdee, Mbowe, Lissu you name them."

Kwamba jahazi la Chadema ni imara no matter what, poleni sana.

Hiyo ndiyo Chadema inayowaacha chama mboga mboga hoi bun taabani wasijue kushoto wala kulia.

Hivi Pole pole bado ataendelea kutoa malipo ya buku 7 kuendeleza vita vya mataga mitandaoni?

Vipi mataga nao wataendelea kuwapo awamu hii ambayo kina bushiri wametambulika kuwa ni mizigo?
Ukimaliza hapa, kanywe konyagi creti moja Kwa Hasira ili usahau kidogo Maumivu haya mkuu
 
NDIYO MAANA HAMPIGI HATUA KWA SABABU ANY FAILURE KWENU HAMUKUBALI ON THE FACE OF IT, YOU ALWAYS DO MASSAGE ON ALL FAILURES KWA KUZIPA MAJINA MATAMU. KARAGABAO CHADEMA, NDIYO MAANA CCM ANAWAPENDA SANA KAMA WAPINZANI WAKE

Karagabaho CCM.

Kwamba Mbowe akizingua, tunamzingua. Kwamba Lissu akizingua, tunamzingua. Nk. Nk.

Wajameni sembuse Nyalandu?

CCM mmechachawa kweri kweri.

Haitakuja hata kama Lissu atachagua kuwa MPUMBAVU (which is totally unlikely) kutaka kutuzingua na agenda yetu ya haki, usawa na maendeleo.

Kimsingi katiba muafaka ni agenda yetu kuu.

Nyie endelezeni ushirika na kina TLP na wenzake.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ukimaliza hapa, kanywe konyagi creti moja Kwa Hasira ili usahau kidogo Maumivu haya mkuu

Mtakuwa mmeumia sana kuwa tuko vyema kuliko maelezo.

Tuko tayari kumzingua Lissu akizingua. Ije kuwa nani?

Kwani mheshimiwa Mungu mlikuwa mnamuweza? Si mshukuruni Iziraeli nyie?
 
Mtakuwa mmeumia sana kuwa tuko vyema kuliko maelezo.

Tuko tayari kumzingua Lissu akizingua. Ije kuwa nani?

Kwani mheshimiwa Mungu mlikuwa mnamuweza? Si mshukuruni Iziraeli nyie?
Sawa mkuu!
 
Mtakuwa mmeumia sana kuwa tuko vyema kuliko maelezo.

Tuko tayari kumzingua Lissu akizingua. Ije kuwa nani?

Kwani mheshimiwa Mungu mlikuwa mnamuweza? Si mshukuruni Iziraeli nyie?
Sawa mkuu, lkn Maumivu hayakosekani
 
Let me count the heads.

Shibuda, in and out
Lowassa, in and out
Sumaye, in and out
Mwiru, in and out
Nyalandu, in and out

Who else?

When will CHADEMA learn?
 
Let me count the heads.

Shibuda, in and out
Lowassa, in and out
Sumaye, in and out
Mwiru, in and out
Nyalandu, in and out

Who else?

When will CHADEMA learn?
Learning is an endless process for the attitude that is ready to learn from mistakes. For the dumb mind. To them its all about having a quantitative list of members and not the quality...

Politics is a science but its unkown becomes unkowns to the knowns
 
Chogolo na Shaka anzeni kazi mapema ya kupiga spana mpaka Nyumbu waombe poo.
Mama kasema baada ya Nyarandu kuna wengine watafatia.
1.Nyarandu.
2.Mathew
3.,,,,
4.,,,,
5.,,,,
Na wengine wengi.
 
Tunawatakia kila la heri wote waendazao
Rafiki yangu, nikupongeze, sikupi pole hata kidogo kwa sababu sasa ndio chama chenu kinasafishika kabisa.

Hakuna sababu tena ya kusema mnahujumiwa.

Mtakaobaki nao huko chamani wakati huu, hao ndio wananchama wenu haswa, na mnatakiwa muwatambue na kuwathamini.

Kifupi ni kwamba, chama chenu kimeyapita na kuyashinda majaribio yote ya kutaka kukisambaratisha kutoka nje.

Kama CHADEMA itasambaratika sasa, ni nyinyi wenyewe ndio mtakaoisambaratisha.

Sasa nirudi kwako kukumbusha na kupitia kwako kuwakumbusha nyote. Chama chenu kiko huko mitaani. Huko ndiko kunakotakiwa kuimarishwa zaidi.

Haya yanayotokea sasa nchini, ni kama nyote, yaani vyama vyote, mnapewa mwanzo mpya, si CCM, ACT-Wazalendo, CUF, nyote mnapewa nafasi sawa ya kujiimarisha kwa wananchi. Na hilo litatokea tu iwapo SERA zenu zinaeleweka vizuri na wananchi.

Utakuwa ulishanielewa siku nyingi. Ngoja nikuachie hapo.

Ahaaa! Nimekumbuka jambo baada ya kuondoka.

Udanganyifu mkubwa ni kwamba wengi wanadhani sera za CCM zinaeleweka vizuri na kukubalika kwa wananchi?
Unaweza kunitajia hata moja wanayoifuata CCM?
Wananchi wataendelea kuwachagua CCM, sio kwa sera zao nzuri, bali hawaoni wala kuelewa sera zenu ni zipi.
 
Back
Top Bottom