Mamluki kuondoka CHADEMA, hakuna athari yoyote kwa chama

Mamluki kuondoka CHADEMA, hakuna athari yoyote kwa chama

Let me count the heads.

Shibuda, in and out
Lowassa, in and out
Sumaye, in and out
Mwiru, in and out
Nyalandu, in and out

Who else?

When will CHADEMA learn?
 
Kuwa mwanachama wa chadema ni sawa na kucheza kamari
Mama D, nilitaka kukupongeza kwa maneno hayo, lakini baada ya tafakuri ndogo nikasita.

Hivi ni mwanachama gani wa CHADEMA aliyetimikia CCM?

Wote, tokea akina Slaa (huyu hasa alinipa shida katika tafakuri yangu); lakini akina Lowassa, Frederick, huyu Nyalandu, hawa hawakuwa wanachama wa CHADEMA hata siku moja.

Ni mwanachama yupi hasa, toka CHADEMA aliyetimkia CCM, unao mfano? Usinitajie akina Mwita na sijui nani yule naibu waziri wa Afya.

Naomba kujua mwanachama wa CHADEMA hasa, aliyebwaga manyanga na kuingia CCM.
Ukimtaja Halima Mdee, hapo nitanyamaza.
 
Huku Kwetu tunawaita Ng'ombe waliye katwa mkia, Baba alisemaga Ng'ombe akitoroka zizini akirudi tunamkata mkia ili kila mtu amjue
 
Mamluki ukimpa cheo na passwords ananyonya siri zote za chama anaondoka nazo.

Wewe unabaki kujiliwaza hakuna athari yoyote kwa chama mamluki akiondoka.
 
Sawa mkuu, lkn Maumivu hayakosekani

Kwenu siyo? Tumewaelewa.

Ila kwetu si Mzee Mdee, Mbowe, Lissu au yeyote awaye yote ambaye kama mheshimiwa Mungu ati kuwa yuko juu mno ya chama.

Ukizingua unazinguliwa!

Habari ndiyo hiyo.
 
Mamluki ukimpa cheo na passwords ananyonya siri zote za chama anaondoka nazo.

Wewe unabaki kujiliwaza hakuna athari yoyote kwa chama mamluki akiondoka.

Tatizo ni kama una siri za kuficha mfano kama unalea magenge ya wasiojulikana, wasukuma, wanachato nk.

Unataka haki sawa, maendeleo ya watu, katiba mpya na ya namna hiyo. Mamluki na apeleke taarifa hizo hayo ndiyo tunataka hatuna ya kuficha.

Habari ndiyo hiyo Mkuu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ujumbe huu ni kwa mtu mwenye uelewa tu anaweza kuupata.
Na una maana nzito zaidi ya kuondoka Mwebazake. Maana yenyewe inawahusu hao wote kwenye orodha hiyo. Inaeleza ni watu wa aina gani.

Hakuna chochote wanachokisimamia zaidi ya kujaza matumbo yao. Hiyo ndiyo sifa inayowaunganisha wote.
Simwoni Slaa kwenye orodha! Anatakiwa kuwa namba moja kwenye orodha hiyo.
 
Tatizo ni kama una siri za kuficha mfano kama unalea magenge ya wasiojulikana, wasukuma, wanachato nk.

Unataka haki sawa, maendeleo ya watu, katiba mpya na ya namna hiyo. Mamluki na apeleke taarifa hizo hayo ndiyo tunataka hatuna ya kuficha.

Habari ndiyo hiyo Mkuu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
AaaH, sikujua wewe ni mtu wa CHADEMA.

Ngoja nikuongezee kwenye jibu ulilompa Mkuu Kiranga:
CHADEMA mjihesabu kuwa na bahati kwelikweli, kwa sababu fursa ya kuwafutilia mbali ilikuwepo sana, hasa wakati wa Magufuli.

Hivi alishindwaje Magufuli kuwapikia uongo alipomrubuni Mashinji (Katibu Mkuu wenu) ili azushe uongo kama ushahidi wa kuwafuta kama chama? Kwa nini alihangaika sana na kushindwa huku akiwa na mtu ambaye angemtumia kwa lengo hilo?

Usiseme asingeweza, kwa sababu jamaa hakuwa na asiloweza.
 
Kamanda: unajiliwaza, unajijaza kisabuni. It is not at all as simple as you are trying to make us believe. This is a terrible blow by any standards and you know it. Anybody with even a remote chance of going back to CCM will go, after tubdulissu had broken all protocols and all sorts of norms. Waliobaki kutaka kurudi ni wale ambao wanajua hawatapokelewa bila hata ya kutaja majina tunawajua, walijiharibia wenyewe.
 
Tatizo ni kama una siri za kuficha mfano kama unalea magenge ya wasiojulikana, wasukuma, wanachato nk.

Unataka haki sawa, maendeleo ya watu, katiba mpya na ya namna hiyo. Mamluki na apeleke taarifa hizo hayo ndiyo tunataka hatuna ya kuficha.

Habari ndiyo hiyo Mkuu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kila chama cha kisiasa cha kitaifa kinatakiwa kuwa na nyaraka na mbinu za siri ambazo hazitakiwi kujulikana na wapinzani wake.

Kama hakina, hakifai kuwa chama cha siasa cha kitaifa, ni kikundi cha watu naive tu.
 
Let me count the heads.

Shibuda, in and out
Lowassa, in and out
Sumaye, in and out
Mwiru, in and out
Nyalandu, in and out

Who else?

When will CHADEMA learn?
Siasa za Tanzania zimejaa wasaka fursa.

Lakini CHADEMA kama chama cha siasa hakipaswi kukataa wanachama kutoka chama kingine badala yake kinapaswa kuwa makini sana nao.
 
Siasa za Tanzania zimejaa wasaka fursa.

Lakini CHADEMA kama chama cha siasa hakipaswi kukataa wanachama kutoka chama kingine badala yake kinapaswa kuwa makini sana nao.
Hawa wengine wamepewa uongozi mpaka nafasi ya kugombea urais, si uanachama tu.
 
Back
Top Bottom