Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Wema Sepetu doesn’t count?Let me count the heads.
Shibuda, in and out
Lowassa, in and out
Sumaye, in and out
Mwiru, in and out
Nyalandu, in and out
Who else?
When will CHADEMA learn?
I’m very disappointed by CHADEMA, though.
There was a time I had very high hopes with them.
Kuna kitu katika uongozi wake hakiko sawa na kinahitaji kurekebishwa.
Maana, ukiacha hawa waliohama CCM kwenda CHADEMA halafu kurudi tena CCM, CHADEMA pia imepoteza viongozi wake kadhaa walio [au waliokuwa] na high profile kitaifa;
Dr. Slaa
Kitila Mkumbo
Zitto Kabwe
Dr. Mashinji
Kwa nini?
Pata picha kama hao wote leo hii wangekuwa bado ni wanachama wake…
Upinzani Tanzania bado sana aisee.
It is very possible that we will never see it take power in our lifetime…