Mamluki kuondoka CHADEMA, hakuna athari yoyote kwa chama

Mamluki kuondoka CHADEMA, hakuna athari yoyote kwa chama

Namuunga mkono NyaLandu na wale wote walio mkimbia dicteta kule CCM kurejea nyumbani
 
Basi kweliiiii na Ndio maana walinunuliwa na fisadipapa🤣😃

Misingi ya haki usawa na maendeleo inayopigiwa upatikanaji na Chadema ndiyo kiuongo pekee kati ya wanachama na chama chao.

Ukizingua huku unazinguliwa -
unakwenda na mafuriko. Haijalishi wewe ni mzee Mdee au Mbowe.

Chama cha hivi hakihitaji kununua watu. Ndiyo maana faini huku hulipwa na wenye chama chao ambamo hata mama lishe, baba lishe nk, wamo!

Unaiuwa vipi spirit ya haki? Haijawahi kutokea na haitakuja kutokea.
 
hahahaaaa mnajifariji lakini roho zawaumaaaa

Kipimo cha hoja ni kuwa tumekupa majina yote na Mbowe ndani. Chadema haifungaminishwi na mtu.

Sembuse Nyalandu? Wajameni tuna haja ya kutoa maelezo yoyote zaidi? Mbona hii kitu iko wazi mno?

Asiye amini katika haki, usawa na maendeleo, huyo si mwenzetu na aende zake tu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
"Chadema ni kubwa mno kuifungamanisha na mtu yeyote"
Kuthibitisha hii sentensi ni labda baada ya miaka nenda rudi lakini si kwa sasa.
 
waokotaji poor them wanatumiwa na kuachwa solemba. Watu wamepigania chama miaka na miaka hawapewi hata ujumbe ndani mkoa ila mhamiaji anapita moja kwa moja hadi ngazi kuu na uenyekiti wa mkoa anaukwaa
Huwa najiuliza sana, hii kitu inamaana hawaioni au hawafikirii kabisa??

Ila wanasiasa ni waongo waongo tu.
 
Kipimo cha hoja ni kuwa tumekupa majina yote na Mbowe ndani. Chadema haifungaminishwi na mtu.

Sembuse Nyalandu? Wajameni tuna haja ya kutoa maelezo yoyote zaidi? Mbona hii kitu iko wazi mno?

Asiye amini katika haki, usawa na maendeleo, huyo si mwenzetu na aende zake tu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Nyalandu ilikuwa inajulikana tangu mwanzo kuwa lazima atarudi CCM
 
waokotaji poor them wanatumiwa na kuachwa solemba. Watu wamepigania chama miaka na miaka hawapewi hata ujumbe ndani mkoa ila mhamiaji anapita moja kwa moja hadi ngazi kuu na uenyekiti wa mkoa anaukwaa
Bora ingekuwa mkoa, nyalandu alikuwa mwenyekiti wa Kanda ya kati
 
Mmesahau kuna kitalu kilirudishwa kwa wamiliki jana?
Nyalandu ni mmoja kati ya wakurugenzi
 
NDIYO MAANA HAMPIGI HATUA KWA SABABU ANY FAILURE KWENU HAMUKUBALI ON THE FACE OF IT, YOU ALWAYS DO MASSAGE ON ALL FAILURES KWA KUZIPA MAJINA MATAMU. KARAGABAO CHADEMA, NDIYO MAANA CCM ANAWAPENDA SANA KAMA WAPINZANI WAKE
 
"Chadema ni kubwa mno kuifungamanisha na mtu yeyote"
Kuthibitisha hii sentensi ni labda baada ya miaka nenda rudi lakini si kwa sasa.

Chadema iko mioyoni mwa watu.

Kama Chadema ipo with or without mbowe, with or without Lissu nk. Wameondoka kina Kaburu, Slaa chadema iko imara.

Aje kuwa nani? Muda gani usubiriwe kuthibitisha hilo?

Chama mioyoni mwa watu ni shubiri mwitu kwa madikteta uchwara.
 
Pamoja na kuwaita Mamluki ila CDM waliwapa nafasi kubwa chamani, mpaka Lazaro alihitaji urais via CDM......nadhani ni funzo kwa opozisheni pati za Tanzania
 
Back
Top Bottom