mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Siyo siri mzee mamvi tumemmiss sana kwenye siasa za Tanzania, kulikoni? Nani ana taarifa zake za hivi karibuni? Je ameamua kukaa kimya au ameamriwa kukaa kimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee huko uliko tunakutaka!! Iwe CCM tunakutaka, iwe CDM tunakutaka! iwe CUF tunakutaka!! Inuka mzee, jitie nguvu!! Tunaikumbuka sera yako!! 1. Elimu 2. Elimu 3. Elimu!!Mzee kapumzika
Umenikumbusha 2015 baada ya tangazo kuwa ameshindwa. Palikuwa na utulivu fulani hivi baadhi ya maeneo.Mzee huko uliko tunakutaka!! Iwe CCM tunakutaka, iwe CDM tunakutaka! iwe CUF tunakutaka!! Inuka mzee, jitie nguvu!! Tunaikumbuka sera yako!! 1. Elimu 2. Elimu 3. Elimu!!
Ukitupia picha yake akichunga ng'ombe itakuwa ni picha pendwa ya mwaka!Juzi nilimuona Monduli akichunga ng'ombe zake huku akiwa ametupia kofia lake la cowboy
Vipaumbele vya Lowasa: 1. Elimu 2. Elimu 3. Elimu
Anfepewa nafasi huyu jamaa tungefika mbali sana!!
View attachment 2316017