MAMVI tumemmiss sana kwenye siasa za Tanzania. Yuko wapi mbona kimya?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Siyo siri mzee mamvi tumemmiss sana kwenye siasa za Tanzania, kulikoni? Nani ana taarifa zake za hivi karibuni? Je ameamua kukaa kimya au ameamriwa kukaa kimya?
 
Mwenye picha za mzee mamvi za hivi karibuni hebu atupie hapa.
 
Ngoyai hana baya yule Mzee

kama kutakuwa na somo la misukosuko ya kisiasa basi anapaswa kuwa Mkufunzi

kama kuna mtu anataka kufanya research ya usaliti wa kisiasa basi akamuone huyu mzee
 
Mzee kapumzika
 
Juzi nilimuona Monduli akichunga ng'ombe zake huku akiwa ametupia kofia lake la cowboy
 
Mzee huko uliko tunakutaka!! Iwe CCM tunakutaka, iwe CDM tunakutaka! iwe CUF tunakutaka!! Inuka mzee, jitie nguvu!! Tunaikumbuka sera yako!! 1. Elimu 2. Elimu 3. Elimu!!
Umenikumbusha 2015 baada ya tangazo kuwa ameshindwa. Palikuwa na utulivu fulani hivi baadhi ya maeneo.
 
Vipaumbele vya Lowasa: 1. Elimu 2. Elimu 3. Elimu
Anfepewa nafasi huyu jamaa tungefika mbali sana!!

 
Nilimpigia kura pamoja na uccm wangu huu, ila ndo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…