Man City ndiyo team bora kwa sasa duniani

Man City ndiyo team bora kwa sasa duniani

Kuna timu itawashangaza wengi sana msimu huu kwenye Champions League.

Hamjaizungumzia sana hapa na wengi wanaipuuza. Team hii iangalieni sana kwa makini, wanaweza kutufanyia suprise ambayo hatukutarajia.

Ingaliwe Liverpool kwa jicho la pili. Tuweke ushabiki pembeni, naamini Liverpool kwa sasa wana uwezo wa kuifunga team yoyote kwenye uso wa dunia. Sio Madrid, Barca, PSG, Bayern achilia Man City ambaye mara nyingi ni kibonde wa Liverpool.

Mark my words. Tutegemee suprise kutoka kwa hawa jamaa. Nimekaa nikawaangalia tokea msimu unaanza.

Pale nyuma beki ilikua mbovu Matip na Lovren hawakuweza kutengeneza combination nzuri, wote wawili ni error prone. Usajili wa VVD umestabilize defense ya Liverpool. Hakuna tena yale makosa kama tulivyozoea kuona. Liverpool sahivi wana uwezo kidogo wa ku 'protect the lead'

Kiungo kati achana napo ila tuje kule mbele, false nine Firmino yule jamaa ni mtu mmoja fundi sana, style yake ya ku drop deep na ku hold play ku create pockets of space for Salah na Mane ndio inayoifanya Liverpool saivi inatakata.

Pia ndio beki wa kwanza wa team, jamaa anakaba mwanzo mwisho. Hivyo Liverpool hata wacheze na team gani ni rahisi sana kupata magoli sio chini ya mawili. Ibaki tu kwenye kuzuia.

Kwa hayo basi jamani nawaarifu kuwa hii team tuiangalie kwa jicho la tatu.

Mimi sio mliverpool ila ni mpenzi mmoja wa soka ambae sinaga ushabiki kwenye facts.
Nonsense kabisa westbrom anakutoa jasho itakuwa Shaktar?
 
Shida ya Waingereza maneno mengi sana, ngoja tuone kwenye UEFA wanafika wapi
 
mimi ninazungumuzia hapo kwenye ukubwa wa kikosi,barca ana kikosi kikubwa tena chenye wachezaji wengi ambao ni wa kiwango cha juu kwa sasa kuliko club yoyote ile duniani.
 
Kuna mdau hapo juu ameitaja Liverpool yenye kikosi chembambaa! jamani mpira unachezwa na kikosi kipana chenye wachezaji wazuri wanaoweza kunyumbulishwa wakanyumbulika.
 
Naunga mkono kutokana na kiwango bora walichokionyesha,muunganiko wa timu japo kuwa mancity ni timu inayotumia fedha nyingi kuimarisha kikosi chake lakini watatudhihirishia hilo katika ligi ya mabingwa barani ulaya watakapo kutana na timu vigogo kama Barcelona,Real madrid,na Beyern munchen hapo tutasema bbc wako sahihi kwa hili.
 
Mkuu tema mate chini, Liverpool aifunge Madrid au Barca kwenye UEFA?

Nikwambie tu kuwa HAKUNA TIMU YA EPL YA KUIFUNGA BARCA, labda kwa Madrid ambao siku hizi wanayumbamba lakini naamini tukizungumza kwenye UEFA hawezi kukuacha salama.

Mkuu zungumzia timu zingine kuzipambanisha na timu za Spain ila sio za EPL.

Kabla sijamaliza kuisoma coment yake nikataka nimjibu, bahati nzuri umenisaidia kumjibu.
 
Mkuu atletigo gani iliyonyaswa na Chelsea makundi UEFA ikatoka au?
Atletico msimu huu ni kama walipanga watoke UEFA mapema waende Europa wakanyanyue kwapa maana UEFA imeshaodhiwa na vigogo watatu; Real madrid,Barcelona na Bayern Munich na bingwa wa msimu huu hatatoka nje ya hizi timu tatu.
 
Kuna mdau hapo juu ameitaja Liverpool yenye kikosi chembambaa! jamani mpira unachezwa na kikosi kipana chenye wachezaji wazuri wanaoweza kunyumbulishwa wakanyumbulika.
unaikumbuka Chelsea ya 2012?
 
Atletico msimu huu ni kama walipanga watoke UEFA mapema waende Europa wakanyanyue kwapa maana UEFA imeshaodhiwa na vigogo watatu; Real madrid,Barcelona na Bayern Munich na bingwa wa msimu huu hatatoka nje ya hizi timu tatu.
Naomba umtoe Madrid Mkuu
 
Back
Top Bottom