Man city vs Liverpool ... predictions.

Man city vs Liverpool ... predictions.

Hivi kifurushi cha dstv cha 69000 compact utaona mech ya Liverpool maana nilikua nalipia 109000 sasa vyuma kama mnavojua,wajuz nifahamishen maana naona ghafla dstv wamefanya yao
Premier mkuu compact sizan
 
Haya leo mtanange mwingine huu ...first leg Liverpool alikuwa 5 [emoji2] [emoji2] [emoji2] ..vp kuna uwezekano wa kupindua matokeo? Mimi naamini Liverpool anakufa 2-1
Mechi SAA ngapi?
 
Watu wanatabiri tu kwa kutumia kigezo cha 5 bila, kama uliitazama ile mechi kuanzia mwanzo mpaka Sadio Mane anapewa kadi upepo unabadilika, utakubaliana na mimi kwamba Man City ni draw tu ndo itamwokoa.

Labda kadi nyekundu wapewe Liverpool tena mapema.
 
Watu wanatabiri tu kwa kutumia kigezo cha 5 bila, kama uliitazama ile mechi kuanzia mwanzo mpaka Sadio Mane anapewa kadi upepo unabadilika, utakubaliana na mimi kwamba Man City ni draw tu ndo itamwokoa.

Labda kadi nyekundu wapewe Liverpool tena mapema.
Bosi Bado hujanishawishi ..
 
Liverpool anashinda mbili.... tuonane apa badae
 
Back
Top Bottom