radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Wengine wanaangalia mpira juuu juu tu hawaangalii kiufundi pamoja na pep ana timu nzur kahangaika sana kumfunga liverpool gem ya kwanza n arsenalHope umeshawishika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wanaangalia mpira juuu juu tu hawaangalii kiufundi pamoja na pep ana timu nzur kahangaika sana kumfunga liverpool gem ya kwanza n arsenalHope umeshawishika.
LIVERPOOL KAPATA MAGOLI YA BAHAT MBYA, MANINA, ZINEONGEZEKA DK 5 INGEKUWA 4-5 MANA LIVER WALISHACHOKA
5-0 IMEBAK HSTORIA
VSawa mkuu
Kwa nini unadhani The Kops watafungwa?
PG Mancity Coach anahofu na mechi ya leo hasa baada ya Majogoo kumpata VVD.Pia majeruhi wake wamepona.
Kwa nini unadhani The Kops watafungwa?
PG Mancity Coach anahofu na mechi ya leo hasa baada ya Majogoo kumpata VVD.Pia majeruhi wake wamepona.
City 2 : Liverpool 0
Vipi mkuu umeshachukua KadiLiverpool akishinda leo mimi nahamia CCM
Nenda Mkuu huko shit ole sijuiLiverpool akishinda leo mimi nahamia CCM
Sana, najua ubingwa anaweza chukua Ila Bora kafungwaNaona mkuu ulikuwa unasubiri kwa hamu sana
Hongera kwa utabiriMan city anatolewa bikira leo
Haya leo mtanange mwingine huu ...first leg Liverpool alikuwa 5 [emoji2] [emoji2] [emoji2] ..vp kuna uwezekano wa kupindua matokeo? Mimi naamini Liverpool anakufa 2-1
Mkuu nikupe pole sana. Mimi nalipia kifurushi cha 19,000 tu. Access. Na ninapata super sport 3, 10 ambayo ni 210, 235 hizi zote zinaoneshs EPL. Mwanzo mwisho hakuna kusikrachi. Pia napata 207 ligi ya hispania la liga mechi zote..209,208 na 204.Hivi kifurushi cha dstv cha 69000 compact utaona mech ya Liverpool maana nilikua nalipia 109000 sasa vyuma kama mnavojua,wajuz nifahamishen maana naona ghafla dstv wamefanya yao
Liverpool ilibidi wamtandike City 6-1Haya ndugu tusubirie ...ingawa naona si rahic liver kukubali..kile kilichotokea first leg
Wengine wanaangalia mpira juuu juu tu hawaangalii kiufundi pamoja na pep ana timu nzur kahangaika sana kumfunga liverpool gem ya kwanza n arsenal