Man United 1-1 Chelsea ngoma ngumu, watoshana nguvu

Man United 1-1 Chelsea ngoma ngumu, watoshana nguvu

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
154ad189-0307-4151-b286-0838e460577e.jpg
FRdAd_1XEAAmIiZ.jpg

Bao la kusawazisha la Cristiano Ronaldo limeipa Manchester United pointi moja katika mchezo wa Premier League dhidi ya Chelsea kwenye Uwanja wa Old Trafford, usiku wa Aprili 28, 2022.

Chelsea walianza kupata bao kupitia kwa Marcos Alonso katika dakika ya 60 lakini United walisawazisha dakika mbili baadaye.

Kwa Matokeo hayo United imebaki nafasi ya sita kwa kuwa na pointi 55, Chelsea imesalia nafasi ya tatu kwa kufikisha pointi 66.

FRdEaZNXwAAfHWH.jpg
 
Back
Top Bottom