Man Utd haitochukua taji lolote Msimu huu wa 2017/18

Man Utd haitochukua taji lolote Msimu huu wa 2017/18

Kombe pekee walilokuwa wana nafasi ya kushinda ni lile la Carabao Cup ambalo wameondoshwa jana baada ya kufungwa 2-1 na Bristol City ya daraja la kwanza.

Hivyo amebaki kwenye Michuano ya Ligi ambapo yupo nyuma ya point 11 dhidi ya vinara Man City, Kwenye Uefa Champions League hapa nisiwe mnafiki Man Utd hana kikosi cha kupambana na timu kubwa kwenye Uefa. Na michuano ya mwisho ni ya Kombe la F.A ambayo simpi nafasi ya kufanya vyema.

Hivyo msimu huu Man Utd watamaliza msimu bila kunyanyua makwapa licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa wa kutumia pesa nyingi katika usajili wa wachezaji kama Lindelof, Lukaku na Matic.

Poleni Man Utd wenzangu!

Zinashiriki timu 20. Zitaje zote ambazo hazitachukua. Umeiona Man u peke yake?
 
Round ya pili ni mechi zilizopit y

Mechi Za tarehe 26,27 ni za Kumalizia round ya kwanza

Hapana Boss. ni round ya pili inaanza
mfano mancity al
We jamaa nimekwambia mechi ya man na Leicester ni mechi ya kwanza round ya pili ila mechi ya jana man u na Burnley ni mechi ya mwisho round ya kwanza, jaribu kuwa muelewa,soma post namba 65 utaelewa

Kwahiyo mech mzunguko wa kwanza zinakuwa mechi ngapi? maana timu zipo 20. kwahiyo mzunguko wa kwanza ni 19 matches, na wapili ni 19 matches,
kwahiyo hapa teams ambazo zimeshacheza mechi 20 inamaana tayari wameshaanza mzunguko wa pili. Kifupi ni kwamba mzunguko wa pili umeshaanza. Na Man united kwenye mzunguko wa pili amepoteza point 2. Ni sawa hapo?
 
Round ya pili ni mechi zilizopit y

Mechi Za tarehe 26,27 ni za Kumalizia round ya kwanza
Kwahiyo round ya pili mlishaanza? Nimejaribu ku google sijaona Mechi Bunley na Man U. So utakuwa sahihi, Ila ulitakiwa kutuambia mzunguko wa pili umeshaanza ila wa kwanza uliwekwa kiporo mapaka hizi tarehe.
Thanks for info
 
Fungueni tu nyie post mpya. sisi tukifungua tunaungwanisha hatakama ni topic tofauti.

uzi.png
 
Kombe pekee walilokuwa wana nafasi ya kushinda ni lile la Carabao Cup ambalo wameondoshwa jana baada ya kufungwa 2-1 na Bristol City ya daraja la kwanza.

Hivyo amebaki kwenye Michuano ya Ligi ambapo yupo nyuma ya point 11 dhidi ya vinara Man City, Kwenye Uefa Champions League hapa nisiwe mnafiki Man Utd hana kikosi cha kupambana na timu kubwa kwenye Uefa. Na michuano ya mwisho ni ya Kombe la F.A ambayo simpi nafasi ya kufanya vyema.

Hivyo msimu huu Man Utd watamaliza msimu bila kunyanyua makwapa licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa wa kutumia pesa nyingi katika usajili wa wachezaji kama Lindelof, Lukaku na Matic.

Poleni Man Utd wenzangu!
Sawa shekhe yahya rapa
 
Hawa Man City Hapana ni moto wa kuotea mbali,
City ya msimu huu sio ile, aliachwa point 15 na Chelsea ambae alichukua kikombe, ila wamekuja na moto mkali sana
kuanzia ushambuliaji, beki, Golikipa nae anasevu.
 
Mourihno si aina ya kocha wa Man United. Ku park Bus Man U ni aibu ya karne.
 
Hapana Boss. ni round ya pili inaanza
mfano mancity al


Kwahiyo mech mzunguko wa kwanza zinakuwa mechi ngapi? maana timu zipo 20. kwahiyo mzunguko wa kwanza ni 19 matches, na wapili ni 19 matches,
kwahiyo hapa teams ambazo zimeshacheza mechi 20 inamaana tayari wameshaanza mzunguko wa pili. Kifupi ni kwamba mzunguko wa pili umeshaanza. Na Man united kwenye mzunguko wa pili amepoteza point 2. Ni sawa hapo?
Sawa kabisa man u kapoteza points 2 tu mzunguko wa pili kapoteza dhidi ya Leicester
 
Hapana Boss. ni round ya pili inaanza
mfano mancity al


Kwahiyo mech mzunguko wa kwanza zinakuwa mechi ngapi? maana timu zipo 20. kwahiyo mzunguko wa kwanza ni 19 matches, na wapili ni 19 matches,
kwahiyo hapa teams ambazo zimeshacheza mechi 20 inamaana tayari wameshaanza mzunguko wa pili. Kifupi ni kwamba mzunguko wa pili umeshaanza. Na Man united kwenye mzunguko wa pili amepoteza point 2. Ni sawa hapo?
Mzunguko wa kwanza huwa ni mechi 19 lakini nilichikiona timu mbili umalizana kabisa kwenye mzunguko wa kwanza,kwa mfano Totenham na Man city wameshamalizana kabisa, hiyo hipo kwa timu zote,angalia mechi za 19 zote walikuwa wameshakutana na timu moja hubaki bila kukutana na timu nyingine kwenye mzunguko wa kwanza.
 
Back
Top Bottom