Man Utd walifanya kosa la Karne la Kutompa timu Conte

Man Utd walifanya kosa la Karne la Kutompa timu Conte

Conte Ata pale spurs atawasumbua sana conte ndio sababu ya city kudondosha point na kukalibiwa na livepoor msimu uliopita conte ndio aliwafanya livepoor wakose ubingwa Ile mechi ya moja moja pale anfield ili pepelusha ubingwa man united Ina matatizo Toka juu kule team Ina uingireza mwingi sana ile
 
Sehemu aliyopita Van Gaal, Morinho Waka chemsha. Conte sio suluhisho, Kwasasa hakuna dawa ya kuitibu Man u mojakwamoja.
Iki kikombe lazima tukinywe kwakua imetupasa sisi Man UTD tupitie Hali hii Ili turudi Tena katika Ufalme.
Ni swala la muda tu, ila lazima tupitie kwanza mateso haya Ili tujifunze wenzetu walipitia Hali gani.
 
Sehemu aliyopita Van Gaal, Morinho Waka chemsha. Conte sio suluhisho, Kwasasa hakuna dawa ya kuitibu Man u mojakwamoja.
Iki kikombe lazima tukinywe kwakua imetupasa sisi Man UTD tupitie Hali hii Ili turudi Tena katika Ufalme.
Ni swala la muda tu, ila lazima tupitie kwanza mateso haya Ili tujifunze wenzetu walipitia Hali gani.

Mkuu acha kumlinganisha Conte na Van Gaal. Conte ni proven kabisa kwenye kuzipa timu mafanikio ambazo zinakuwepo kwenye mess
Alianza Juve, akaja Chelsea akamaliza na Inter. na hivi sisi ameisha transform Spurs ambayo ilikua kwenye hali mbaya sana.
 
Conte Ata pale spurs atawasumbua sana conte ndio sababu ya city kudondosha point na kukalibiwa na livepoor msimu uliopita conte ndio aliwafanya livepoor wakose ubingwa Ile mechi ya moja moja pale anfield ili pepelusha ubingwa man united Ina matatizo Toka juu kule team Ina uingireza mwingi sana ile

Moja ya jambo walilokusana wakati wa mazungumzo yao ni kile Conte alichowaeleza kuwa hana imani na zile forward zao za kiingereza.
 
Binafsi nina imani sana na ten hag. Tumpe muda lakini ronado bora asepe.
Pamoja na matatizo mengine Ronaldo anaathiri sana kwa kauli yake kuwa anataka kuondoka lakini bado yupo!

Kujiona pia kuwa yeye ni bora kuliko wachezaji wengine kunamfanya kocha ashindwe kumuacha bench hata kama hayuko kwenye kiwango Cha kuridhisha.
 
Mkuu acha kumlinganisha Conte na Van Gaal. Conte ni proven kabisa kwenye kuzipa timu mafanikio ambazo zinakuwepo kwenye mess
Alianza Juve, akaja Chelsea akamaliza na Inter. na hivi sisi ameisha transform Spurs ambayo ilikua kwenye hali mbaya sana.
Juve, Chelsea sio Man UTD, Man UTD ni Klabu kubwa sana duniani, Ina presha kuliko izo ulizo zitaja.
 
Juve, Chelsea sio Man UTD, Man UTD ni Klabu kubwa sana duniani, Ina presha kuliko izo ulizo zitaja.

Acha kumu underestimate Conte mkuu. hatupo kwenye suala la pressure tupo kwenye kujua nini anafanya. jamaa anazitafuta kabisa chalenge kama hizo, na ndio mana kabla ya kukubali kibarua cha spurs, aliomba ajira pale Man Utd mwenyewe ili awanyooshe wakamchomolea.
 
Sehemu aliyopita Van Gaal, Morinho Waka chemsha. Conte sio suluhisho, Kwasasa hakuna dawa ya kuitibu Man u mojakwamoja.
Iki kikombe lazima tukinywe kwakua imetupasa sisi Man UTD tupitie Hali hii Ili turudi Tena katika Ufalme.
Ni swala la muda tu, ila lazima tupitie kwanza mateso haya Ili tujifunze wenzetu walipitia Hali gani.
Levy ameachana na ubahili na kaamua kutoa pesa za usajili unaoleweka. Wachezaji waliokuwa wanaambiwa hawauzwi pale Spurs wameondoka chini ya Conte na waliobaki wanatafutiwa soko.
 
Hili nami nakubaliana nalo kabisa, Conte alikua sahihi kwetu ila wahafidhina hawamkutaka
 
Acha kumu underestimate Conte mkuu. hatupo kwenye suala la pressure tupo kwenye kujua nini anafanya. jamaa anazitafuta kabisa chalenge kama hizo, na ndio mana kabla ya kukubali kibarua cha spurs, aliomba ajira pale Man Utd mwenyewe ili awanyooshe wakamchomolea.
Conte ni kocha mzuri ila si kocha wa kusema akija Man U watapata Makombe. Ndiomaana Nika andika, kama Ameshindwa Van Gaal na Morinho. Kumleta Conte ni kubahatisha, Conte anaweza kuwa mzuri spurs, Juve, Chelsea n.k lakini pale UTD nikitu kingine.
Man U tusubili, hatujui dawa yetu tutapata lini. Kikubwa tujitaidi tusishuke daraja.
 
Back
Top Bottom