Man Walter umenikwaza sana, leo sikuachi

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,754
Reaction score
8,750
Watu wengine bhana[emoji52]

Oya MAN WALTER.....kama umeshindwa kabisa kumpigia mshkaji mziki wa bongo fleva mwache bhana....sio lazma jina lako liinuke tena kupitia yeye.

Tangu kipindi kile cha "Mwana" mi nilikua nakuzoom tu zile beat zako zakumkimbiza kimbiza mshkaji......ukaja ukamtengenezea "Chekecha chekechua" yani mwendo ni ule ule tu kumlazimisha jamaa kukata mauno.

Tukapumzika kidogo baada ya jamaa kwenda kwa ABBY DADY na kutupa bonge la ngoma ile "AJE" yani ikawa ni full burudani palee.........
Sasa nae alivompuuzi akarudi kwako ukamtengenezea "SEDUCE ME"....Sio siri ile ngoma tuliipokea lkn kwa mashaka kinomaa.......yan tumeisukuma sukuma tu kimazabe mazabe but kwa uzuri ilizidiwa hata na "CINDERELA"

Sasa sa hv ndo kabisaaaaaa yani umetuletea huu ushuzi wa radi mtaani ya mpka umeboaa yani........yani mwanangu umemtoa mshikaj kwnye bongo fleva umemleta huku kwenye bolingo yani akae sasa meza moja na kina "Nyoshi el sadaati"
NYIMBO MBAYA YANI MBAYA KABISA MWANANGU...........!!!! Yani sasa alikiba anafunikwa hadi na wakina Amber lulu na wakina Whozhu.

WE MAN WALTER KUANZIA LEO NAOMBA UWE MZALENDO WA MZIKI WA ALIKIBA.......MWACHE JAMAA AKAFANYE KAZI NA CURRENT PRODUCERS...WEW USHAPITWA NA WAKATI BHANA.

Lilinikaba sana kooni hili....leo nimelitoa[emoji58]
 
Je seduce me ilikuwa bolingo? Producer anakutengenezea beat kutokana na vile msanii anahitaji
lakin mapokeo yake yalikua ni ya mashaka mashaka kama unakumbuka vzur
 
Je seduce me ilikuwa bolingo? Producer anakutengenezea beat kutokana na vile msanii anahitaji
Wanaume kuhangaikiaa na kubishana kwa sababu ya shibe ya mwanaume mwenzake huwa simuelewi kabisa, yaan asubuh yote hii na kengele zako mbili mninginio unakaa una mdiscuss mtu ambaye huwez kuishi maisha yake hata nusu ?yaan wanaume wa siku hizi mmekuwa wafatiliaji wa mambo kuliko hata sisi dadazenu.....
 
lakin mapokeo yake yalikua ni ya mashaka mashaka kama unakumbuka vzur
Beat ya Seduce me ni miondoko ileile ya beat ya Aje, kimsingi hizo nyimbo zote ni nzuri kwa upande wangu though Aje ni nzuri zaidi. Huu wimbo mpya miondoko yake inaendana na ile ya Mwana, nimependa beat na back vocal (sijui ndo FM academia) ila kwa upande wa Kiba naona kaimba kawaida, hajaonesha ule ufundi wake wa kucheza na sauti tuliouzoea. Man Walter asilaumiwe ameplay part yake vizuri, vile vinanda/gitaa hatari sana
 
Sitaki kuamini kama huo ndo mwisho wako wa kufikiri
 
Acheni kumsingizia Man maji hahahaha Kiba amefeli
 
Kuna mtu angepewa ile bit ingebamba sana kiba hajaitendea haki. Bit na back vocal ziko poa tatizo haikumfaa kiba na utunzi na uimbaji wake haukuendana kabisa na ile bit. Bit ni ya mtu kama Bella
 
Man wota anapumulia mpira...kutwa ni kukopi pesti midundo ile ile, hataki kuichosha akili, amtokeo yake ana-ruin brand za watu kama Ali Kiba. apumzike
 
Kijana atafute shughuli nyingine ila akiendelea atadhalilika uko mbele.

Man maji sio wa kulaumiwa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…