Man Walter umenikwaza sana, leo sikuachi

Man Walter umenikwaza sana, leo sikuachi

Sawa..tatizo ukikaa muda mrefu bila kutoa nyimbo halafu unakuja na kanyimbo kama kale duh....hivi ana managrkent kweli huyu? Aangalie Sony watamtema
 
Kama kuna mwanamke shogaa sawa i will the be first and the last one on earth.......stay on ur lane biiisssh hatred iss new form of slavery mwanaum huwez amka na kuandika vitu kama hivyo badala ya kuwaza pesaaa
Na wewe mdangaji unafanya nini huku?....ukweli unabaki palepale king amechemsha..
 
kwann niwaze pesa wakati naamka nazo? mkuu usifikire kwa tumbo, tumia kichwa hicho kikubwa kilichoshikiliwa na shingo.
Wenye pesa huwa hawajionyeshi wewe ni maskini huna hela yoyote ndo maana unamfuatilia mwanaume mwenzio ambaye kakuzidi kila kitu
 
basi wewe upo chekechea. ukifik la kwanza niPM
Napata picha halisi kama wewe si mwanamke basi mwanaume wa Dar kazi kufuatilia mwanaume fulani kafanya nini kama ni mwanamke ntajua labda unampenda Alikiba ila kama ni mwanaume wa Dar sitashangaa sababu najua hauna kitu cha kufanya narudia kwa mtu mwenye kazi yake na kuwaza future yake hawezi kukaa na kuota nani kafanya nini badala ya kuwaza yake
 
Hivi ni WALTER au WATER? Mara Nyingi Namsikia Asilimaile 20 akitamka MAN MAJI.
 
Uimbaji wa Ali uko Chumba kimoja na wa Rose Muhando tofauti ni Mahadhi yao katika miondoko.
 
Napata picha halisi kama wewe si mwanamke basi mwanaume wa Dar kazi kufuatilia mwanaume fulani kafanya nini kama ni mwanamke ntajua labda unampenda Alikiba ila kama ni mwanaume wa Dar sitashangaa sababu najua hauna kitu cha kufanya narudia kwa mtu mwenye kazi yake na kuwaza future yake hawezi kukaa na kuota nani kafanya nini badala ya kuwaza yake
Mbona unaongea maneno mengi kama Bi Chau?
 
Hata hiyo jina la wimbo amefail, toka lini radi ikavuma badala ya kuunguruma??
 
Haya ndo yanayoshinda nyumban mpaka sasa akipata ela ya bando basiii hana linginee
usikalili maisha mdogo wangu.......mi ndo nimeleta mada lkn sio mpka nikiwa naandika uzi humu bs nianze na kichwa cha habari " habari zenu mimi ni mfanyakazi kampuni flan au hospitali flani na elimu yangu ni kiwango flani,, ili tuweze kuheshimiana"" Music ni burudani.....inatureflesh mind pale tunapochoka baada ya kazi....vivo hivo hata hapa jf, sio mbaya kujadili nyimbo ya mtu sababu yeye kaileta kwa ajili yetu ili tumsikilize.......kama ni hivo basi sio ujinga hata kidogo kuijadili.

Acha kujifanya ww upo pazuri na unaakili sana mdogo wangu....kila mmoja akisema ataje kazi yake au biashara yake na kipato chake basi hapatatosha humu.

Et "sina hela nikipata hela ya bando basi ndo inaishia humu" hakianani kuna watu mnadharau kwa kweli.

Anyway......Hongera ww ambae unakwako.....wacha tulionyumbani mpaka leo (as u've said) tuendelee kujadili ujinga......ukiona haikusu basi sio zambi kutulia tu kistaarabu mkuu.
 
Back
Top Bottom