Man Walter umenikwaza sana, leo sikuachi

Man Walter umenikwaza sana, leo sikuachi

usikalili maisha mdogo wangu.......mi ndo nimeleta mada lkn sio mpka nikiwa naandika uzi humu bs nianze na kichwa cha habari " habari zenu mimi ni mfanyakazi kampuni flan au hospitali flani na elimu yangu ni kiwango flani,, ili tuweze kuheshimiana"" Music ni burudani.....inatureflesh mind pale tunapochoka baada ya kazi....vivo hivo hata hapa jf, sio mbaya kujadili nyimbo ya mtu sababu yeye kaileta kwa ajili yetu ili tumsikilize.......kama ni hivo basi sio ujinga hata kidogo kuijadili.

Acha kujifanya ww upo pazuri na unaakili sana mdogo wangu....kila mmoja akisema ataje kazi yake au biashara yake na kipato chake basi hapatatosha humu.

Et "sina hela nikipata hela ya bando basi ndo inaishia humu" hakianani kuna watu mnadharau kwa kweli.

Anyway......Hongera ww ambae unakwako.....wacha tulionyumbani mpaka leo (as u've said) tuendelee kujadili ujinga......ukiona haikusu basi sio zambi kutulia tu kistaarabu mkuu.
Hahahh...relax n take a several seat.......bado mdogo ata ukisena nnuandishi wako ni wa ki kid in irene paul's voice lol
 
Najaribu tu kufikiria kwa akili ya kawaida,mtu kama Ali Kiba ni brand kubwa,Ana management,ana washkaji na wadau mbalimbali ambao anaweza kuwasikilizisha kazi zake kabla hajazitoa ili kupata maoni kama ziko ktk ubora sahihi kwa hadhi yake.je Kaz kama Ile imepenyaje kwa watu wote Hao mpaka itufikie?wanaogopa kumwambia ukweli au hawatumii kupata maoni Yao?maana hata mm nisiye ktk music industry angeniuliza ningemwambia atafute wimbo mwingine sio huo,huo hata Abdul Kiba usingemfaa
 
😉😀😀😀





Wanaume kuhangaikiaa na kubishana kwa sababu ya shibe ya mwanaume mwenzake huwa simuelewi kabisa, yaan asubuh yote hii na kengele zako mbili mninginio unakaa una mdiscuss mtu ambaye huwez kuishi maisha yake hata nusu ?yaan wanaume wa siku hizi mmekuwa wafatiliaji wa mambo kuliko hata sisi dadazenu.....
 
Namshauri ajaribu kumsajili Papiii kocha au Christian Bella. Wataendana zaidi, maana beat zake jamaa ni za miziki ya dance ktk high tempo!
 
Huyo kiba kama anaakili timamu afanye REMIXX auweke sawa
 
Acheni kumsingizia Man maji hahahaha Kiba amefeli
Kwa kifupi KA WIMBO HAKA NI KABAYA MNO...promo ya kuua mtu ya Clouds bado mtaani hakasikiki...bora hata AJE japo nayo ilikua kawaida.
Kiba hana cha ziada anaweza ku offer..hapo kafika mwisho wa uwezo wake kabisa
 
Kiba na Diamond wameshafikia level za juu..hata wakiimba Yooh Yooh watu watasikiliza..huu ni muda wakuwabeba upcoming kama Marioo,Lavalava etc kutengeneza new generation
 
Back
Top Bottom