Man Walter umenikwaza sana, leo sikuachi

Man Walter umenikwaza sana, leo sikuachi

Kila mtu na ladha zake .. mbona hamkulaumu mondi kipindi kile anchanganya ladha mara mduara mara mdogomdogo mara anarap nk. Kwa hiyo msipende kukaririshwa mtindo mmoja kila mwaka.. Kiba kafanya vizuri sana.
ilikua inakua tam
 
Kukosa zile hitilafu pale juzi leo nyimbo ingekuwa inachungulia 3milioni by the way mtoa uzi una haki kisheria kupenda unachotaka na kutokipenda usichokitaka..
word
 
Wakati hayo yanaendelea
 

Attachments

  • IMG-20180515-WA0028.jpeg
    IMG-20180515-WA0028.jpeg
    53.8 KB · Views: 29
Hivi msanii anatakiwa kuwa na idea yake kwanza ili itengenezewe beat au beat inamuamilia mziki wake ukoje!!??

Kama ni hivyo basi usanii wetu ni wakisanii sana. Tutakuwa na mapungufu kuliko ubunifu.

Halafu madhani hili tatizo la kutokuwa na plan ya mziki wako uwe na mahadhi gani kila unapotoa. Unajikuta na wazo usiku,......asubuhi studio.

NAMKUBALI ALIKIBA LAKINI KWA HILI SIKO NAWE PAMOJA.
 
Hivi msanii anatakiwa kuwa na idea yake kwanza ili itengenezewe beat au beat inamuamilia mziki wake ukoje!!??

Kama ni hivyo basi usanii wetu ni wakisanii sana. Tutakuwa na mapungufu kuliko ubunifu.

Halafu madhani hili tatizo la kutokuwa na plan ya mziki wako uwe na mahadhi gani kila unapotoa. Unajikuta na wazo usiku,......asubuhi studio.

NAMKUBALI ALIKIBA LAKINI KWA HILI SIKO NAWE PAMOJA.
yani kwa siku hz......ni world wide.....msanii anakuta beat ndo analifanyia kazi.....wanaotoka na nyimbo zao nyumbn ni wale Undergeounds tu lkn wasanii wakubwa wanategemea beat
 
yani kwa siku hz......ni word wide.....msanii anakuta beat ndo analifanyia kazi.....wanaotoka na nyimbo zao nyumbn ni wale Undergeounds tu lkn wasanii wakubwa wanategemea beat
Unamaanisha ukiwa underground unatumia kipaji,ukishafanikiwa unaanza kubahatisha!!!

Kazi kweli kweli
 
Watu wengine bhana[emoji52]

Oya MAN WALTER.....kama umeshindwa kabisa kumpigia mshkaji mziki wa bongo fleva mwache bhana....sio lazma jina lako liinuke tena kupitia yeye.

Tangu kipindi kile cha "Mwana" mi nilikua nakuzoom tu zile beat zako zakumkimbiza kimbiza mshkaji......ukaja ukamtengenezea "Chekecha chekechua" yani mwendo ni ule ule tu kumlazimisha jamaa kukata mauno.

Tukapumzika kidogo baada ya jamaa kwenda kwa ABBY DADY na kutupa bonge la ngoma ile "AJE" yani ikawa ni full burudani palee.........
Sasa nae alivompuuzi akarudi kwako ukamtengenezea "SEDUCE ME"....Sio siri ile ngoma tuliipokea lkn kwa mashaka kinomaa.......yan tumeisukuma sukuma tu kimazabe mazabe but kwa uzuri ilizidiwa hata na "CINDERELA"

Sasa sa hv ndo kabisaaaaaa yani umetuletea huu ushuzi wa radi mtaani ya mpka umeboaa yani........yani mwanangu umemtoa mshikaj kwnye bongo fleva umemleta huku kwenye bolingo yani akae sasa meza moja na kina "Nyoshi el sadaati"
NYIMBO MBAYA YANI MBAYA KABISA MWANANGU...........!!!! Yani sasa alikiba anafunikwa hadi na wakina Amber lulu na wakina Whozhu.

WE MAN WALTER KUANZIA LEO NAOMBA UWE MZALENDO WA MZIKI WA ALIKIBA.......MWACHE JAMAA AKAFANYE KAZI NA CURRENT PRODUCERS...WEW USHAPITWA NA WAKATI BHANA.

Lilinikaba sana kooni hili....leo nimelitoa[emoji58]
 
Unamaanisha ukiwa underground unatumia kipaji,ukishafanikiwa unaanza kubahatisha!!!

Kazi kweli kweli
hayo mengine sijui kama ni kubahatisha au lah.....but ndo hvo wasanii wanakuja studio kuskiliza beat.....
 
Watu wengine bhana[emoji52]

Oya MAN WALTER.....kama umeshindwa kabisa kumpigia mshkaji mziki wa bongo fleva mwache bhana....sio lazma jina lako liinuke tena kupitia yeye.

Tangu kipindi kile cha "Mwana" mi nilikua nakuzoom tu zile beat zako zakumkimbiza kimbiza mshkaji......ukaja ukamtengenezea "Chekecha chekechua" yani mwendo ni ule ule tu kumlazimisha jamaa kukata mauno.

Tukapumzika kidogo baada ya jamaa kwenda kwa ABBY DADY na kutupa bonge la ngoma ile "AJE" yani ikawa ni full burudani palee.........
Sasa nae alivompuuzi akarudi kwako ukamtengenezea "SEDUCE ME"....Sio siri ile ngoma tuliipokea lkn kwa mashaka kinomaa.......yan tumeisukuma sukuma tu kimazabe mazabe but kwa uzuri ilizidiwa hata na "CINDERELA"

Sasa sa hv ndo kabisaaaaaa yani umetuletea huu ushuzi wa radi mtaani ya mpka umeboaa yani........yani mwanangu umemtoa mshikaj kwnye bongo fleva umemleta huku kwenye bolingo yani akae sasa meza moja na kina "Nyoshi el sadaati"
NYIMBO MBAYA YANI MBAYA KABISA MWANANGU...........!!!! Yani sasa alikiba anafunikwa hadi na wakina Amber lulu na wakina Whozhu.

WE MAN WALTER KUANZIA LEO NAOMBA UWE MZALENDO WA MZIKI WA ALIKIBA.......MWACHE JAMAA AKAFANYE KAZI NA CURRENT PRODUCERS...WEW USHAPITWA NA WAKATI BHANA.

Lilinikaba sana kooni hili....leo nimelitoa[emoji58]
Team WACHAFU kuwajua ni rahisi sana....
 
Wanaume kuhangaikiaa na kubishana kwa sababu ya shibe ya mwanaume mwenzake huwa simuelewi kabisa, yaan asubuh yote hii na kengele zako mbili mninginio unakaa una mdiscuss mtu ambaye huwez kuishi maisha yake hata nusu ?yaan wanaume wa siku hizi mmekuwa wafatiliaji wa mambo kuliko hata sisi dadazenu.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naona umempa za uso
 
Bado ana nafasi 3,Amina akiridhia lakini........
 
Hivi mkewe ndo kachagua hilo jina la.wimbo au meneja ??? Ingekuwa sehemu fulani hivi angeambiwa your title does not inform your objectives hahaaaa
 
Back
Top Bottom