Manara adai hakuna wa kumuua Makonda labda afe kwa 'stress' zake mwenyewe. Amtaka awaombe msamaha watanzania kwa dhulma

Haki ya Mungu wallah, Manara ni kijana hatari. Sio kwa majibu haya

Manara hajatumia hekima! Siku zote ni vizuri kuacha akiba ya maneno! Watu husema hujafa hujaumbika!! Huwezi kujua ya kesho!! Na huwezi kujua unawakera wangapi ambao Makonda ana connection Nao!! Huwezi kujua kesho Makonda atakuwa nani kwenye Nchi hii! Manara asidhani kuwa hapo kwa GSM ndo kafika na atafia hapo!! Busara inataka ustaarabu na diplomasia!! Kikwete ni mfano mzuri wa ustaarabu na Diplomasia!! Alikuwa anatukanwa akiwa madarakani, aliitwa dhaifu wakati ni jemadari mkuu wa majeshi yetu yote!! Manara jifunze kwa Kikwete!! Vinginevyo usike ukaja hapa siku moja ukiwa unalia na kutafuta huruma za watu mitandaoni!! Mwombe radhi Makonda!!
 
Kwa hiyo tumeshajivika vyeo vya kuhukumu?... Nadhani busara ni kukaa kimya na kujifunza kwa Makonda.

Tomorrow is unpredictable.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
.....Umenena vyema Manara....Siku ukija huku kijijini kwetu nitakuzawadia JOGOO
 
Sasa kwa waraka huo wa Manara nini tofauti yake na yule Makonda aliyekuwa na kiburi kipindi cha hatamu yake?

Vyovyote itakavyokuwa iwe fundisho tu kwa wengine, natamani wawakate kidole kimoja kimoja, na ikiwezekana wasagwe na bulldozer wote waliokuwa mafedhuli, ili liwe somo kwa wengine
 
Yaani kwa posts hizi dhidi ya Makonda, nimeamini kweli Paul Christian Makonda ni MWAMBA hasa! Hakuna cha kujadili bajeti, wala uzinduzi anaofanya Mama wa SGR ya JPM, wala upandaji wa being wa mafuta. Ni Makonda tu! Kweli wewe ni MWAMBA!
kweli we mwanauchi
 
Hata iblisi hujadiliwa kila cku
Yaani kwa posts hizi dhidi ya Makonda, nimeamini kweli Paul Christian Makonda ni MWAMBA hasa! Hakuna cha kujadili bajeti, wala uzinduzi anaofanya Mama wa SGR ya JPM, wala upandaji wa being wa mafuta. Ni Makonda tu! Kweli wewe ni MWAMBA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…