Uongozi wa Simba amkeni, kabla ya saa nne, wanachama na wapenzi wa club tupate taarifa, tayari mmeshamfukuza huyu msaliti
Anajua kabisa keshokutwa tuna mechi ngumu na mtani,yeye anaanzisha mgogoro na Babla tena kwa kuitangazia Dunia. Amesahau kwamba yote anayofanya GSM, Azam, Asas ni kwa sababu ya Brand ya Simba. Anajaribu kujionyesha yeye ni mkubwa Kuliko club na kwamba timu ameikuta. Viongozi hebu timueni huyu Shetwani
Anajua kabisa keshokutwa tuna mechi ngumu na mtani,yeye anaanzisha mgogoro na Babla tena kwa kuitangazia Dunia. Amesahau kwamba yote anayofanya GSM, Azam, Asas ni kwa sababu ya Brand ya Simba. Anajaribu kujionyesha yeye ni mkubwa Kuliko club na kwamba timu ameikuta. Viongozi hebu timueni huyu Shetwani