macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ni ajabu. Huyu mwanzisha thread ni kati ya hawa chawa wanaoishi kwa kulamba vidonda vya muuaji Makonda pengine. Makonda karma yake iko njiani na nina uhakika hao watu aliotesa na wengine kuua kuna siku yatamkuta. Anadhani Samia ndiyo Mungu?Tukianza kumjadili Manara kwa mitazamo na hulka zake tutakuwa hatuna tofauti na wasengenyaji kitaa kwakuwa haathiri jumuiya kwa maneno yake.
Tumakimike tusije tukaangukia kwenye ule usemi usemao small minds discuss people
Sent using Jamii Forums mobile app