Manara amtaka Waziri Mchengerwa asimamie haki ya kiapo chake cha Katiba

Hapa sasa kajilengesha fresh,anamtuhu waziri kuwa ndiye aliyeshinikiza adhabu ile. Halafu kuna wapumbavu wanataka kwenda kwa Rais kwa ajili ya huyu zeruzeru mvuta bangi.
sijui kwa nini Yanga wanajiingiza kwenye huu ujinga
 
Haki za watu hazina ushemeji.
Labda sio hapa Tz, kwa nchi hii haki za Rizione haziwezi kuwa sawa na zako wewe kapuku usiokuwa na mbele wa nyuma.

Ushabiki usikufanye kujitoa akili.
 
Waziri Mchengerwa ni mndengereko na Haji ni mndengereko anamuagiza Mndengereko mwenzie akamsadie.
 
Shida juu ya tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…