Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Wakati mkutano mkubwa ukifanyika Arusha, Haji Manara ameomba kufanya mkutano mdogo na kiongozi mkuu wa FIFA.
Ikumbukwe kabla ya kuisha kwa mkutano huo, Manara pia amekubaliwa kufanya mazungumzo na ndg Motsepe.
Baki hapa hapa kujua kipi kitajiri.
#UCHAGUZIKENYA: Zoezi la kuhesabu kura linaendelea ambapo hadi kufikia Saa 02:32 Mchana, Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amejikusanyia kura 1,890,299 sawa na 49.58% huku Mgombea wa UDA, Naibu Rais William Ruto akiwa na kura 1,868,853 sawa na 49.02%
#ITVUchaguziKenyaUpdates