Manara aomba kukutana na Gianni Infantino

Manara aomba kukutana na Gianni Infantino

Wakati mkutano mkubwa ukifanyika Arusha, Haji Manara ameomba kufanya mkutano mdogo na kiongozi mkuu wa FIFA.

Ikumbukwe kabla ya kuisha kwa mkutano huo, Manara pia amekubaliwa kufanya mazungumzo na ndg Motsepe.
Baki hapa hapa kujua kipi kitajiri.

#UCHAGUZIKENYA: Zoezi la kuhesabu kura linaendelea ambapo hadi kufikia Saa 02:32 Mchana, Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amejikusanyia kura 1,890,299 sawa na 49.58% huku Mgombea wa UDA, Naibu Rais William Ruto akiwa na kura 1,868,853 sawa na 49.02%

#ITVUchaguziKenyaUpdates
 
Nasikia Mzee Tozi wa bandarini atamsindikiza

#UCHAGUZIKENYA: Zoezi la kuhesabu kura linaendelea ambapo hadi kufikia Saa 02:32 Mchana, Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amejikusanyia kura 1,890,299 sawa na 49.58% huku Mgombea wa UDA, Naibu Rais William Ruto akiwa na kura 1,868,853 sawa na 49.02%

#ITVUchaguziKenyaUpdates
 
Nahisi atamwambia....

"TFF......they closed me for two years,......the Karia is very very bad man........ Karia, he hated Me and Yanga, the big clubs in Tanzania. He breaked my brAnd........ Mister Fifa President tell Tff to open me. My childs and my family eats from the money of soccer. I love soccer."

[emoji23][emoji23][emoji23]
Am teething [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahaa huyu kifutu wa kariakoo anadhani ni rahisi kihivyo kisa kamuona Karia yuko nae, Karia ni taasisi mpe heshima yake hata kama ana mapungufu yake.

Ona sasa ili angalau akusikilize mpaka Karia akuombee appointment na hiyo ni baada ya kumueleza shida yako akaona ina mashiko. Kama jambo lako ni la kitaasisi mueleze Karia atalifikisha.
Hadji Hayui Itifaki Za Viongozi, Humuoni Tu Kama Campaign Ya Uchaguzi
 
Nahisi atamwambia....

"TFF......they closed me for two years,......the Karia is very very bad man........ Karia, he hated Me and Yanga, the big clubs in Tanzania. He breaked my brAnd........ Mister Fifa President tell Tff to open me. My childs and my family eats from the money of soccer. I love soccer."

[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu darcity una kipaji kikubwa sana lakini sijui ni cha nini.
Kaa chini,jitafakari na ukitumie kipaji chako kupiga hela na kujiletea maendeleo.
Kongole.
Comment yako naitengenezea fremu niiweke ukutani mwa chumba changu cha kulala ili nikikerwa na jambo, niiangalie fremu ya maandishi yako nipate furaha na amani ya moyo.
 
Na kwa roho yake mbaya anaweza kujaribu kuzuia....

Lakini kama anaweza kumfikia Rais wa CAF basi ni rahisi kumfikia Rais wa FIFA kupitia kwa Rais wa CAF bila kupitia TFF.
[emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]kumbe we Humjui msaga sumuu
Polee
 
Nahisi atamwambia....

"TFF......they closed me for two years,......the Karia is very very bad man........ Karia, he hated Me and Yanga, the big clubs in Tanzania. He breaked my brAnd........ Mister Fifa President tell Tff to open me. My childs and my family eats from the money of soccer. I love soccer."

😂😂😂
Wewe ni mtanzania wa hovyo sana.😀😀😀
 
Nahisi atamwambia....

"TFF......they closed me for two years,......the Karia is very very bad man........ Karia, he hated Me and Yanga, the big clubs in Tanzania. He breaked my brAnd........ Mister Fifa President tell Tff to open me. My childs and my family eats from the money of soccer. I love soccer."

😂😂😂
Dah yaani hii ni kama ile "Mabo dugu yagu mziba? Bwada nasubuliwa sada da bafua baka dashindwa kuadika beseji do hayo dugu yagu.
Diobeeni dipone.
Usiku bweba"
Account full 2013
 
Wakati mkutano mkubwa ukifanyika Arusha, Haji Manara ameomba kufanya mkutano mdogo na kiongozi mkuu wa FIFA.

Ikumbukwe kabla ya kuisha kwa mkutano huo, Manara pia amekubaliwa kufanya mazungumzo na ndg Motsepe.
Baki hapa hapa kujua kipi kitajiri.
Manara mnafiki sana, yaani yupo kinafiki nafiki
 
Nahisi atamwambia....

"TFF......they closed me for two years,......the Karia is very very bad man........ Karia, he hated Me and Yanga, the big clubs in Tanzania. He breaked my brAnd........ Mister Fifa President tell Tff to open me. My childs and my family eats from the money of soccer. I love soccer."

[emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaah mwamba hahahaha
 
Nahisi atamwambia....

"TFF......they closed me for two years,......the Karia is very very bad man........ Karia, he hated Me and Yanga, the big clubs in Tanzania. He breaked my brAnd........ Mister Fifa President tell Tff to open me. My childs and my family eats from the money of soccer. I love soccer."

[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakula tafadhali nisije paliwa [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Ukisikia watu kukosa Akali ndiko huku sasa anaomba kuongea na rais wa FIFA yeye kama nani katika soka
Waacheni wamchekee hawajui huyu NI mirembe day, halafu najiuliza nikweli mzee Manara ameshindwa kuongea na mwanae? Mbona anaitia aibu familia iliyoheshimika kwa miaka mingi katika mpira wa miguu. Haya ndio matekeo wa kudekeza akina Junior, hata wakikua hawabadiliki na inakuwa ngumu kuwaweka vizuri ki tabia

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Nahisi atamwambia....

"TFF......they closed me for two years,......the Karia is very very bad man........ Karia, he hated Me and Yanga, the big clubs in Tanzania. He breaked my brAnd........ Mister Fifa President tell Tff to open me. My childs and my family eats from the money of soccer. I love soccer."

😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we fala sana
 
#UCHAGUZIKENYA: Zoezi la kuhesabu kura linaendelea ambapo hadi kufikia Saa 02:32 Mchana, Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amejikusanyia kura 1,890,299 sawa na 49.58% huku Mgombea wa UDA, Naibu Rais William Ruto akiwa na kura 1,868,853 sawa na 49.02%

#ITVUchaguziKenyaUpdates
Hicho ulichoandika [emoji867] kinahusiana na Manara?

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom