Manara asema ataishitaki Simba

Manara asema ataishitaki Simba

Hakuna hata mmoja aliyezungumzia hayo madai yake ya kufanyishwa kazi bila mkataba miaka 6 zaidi ya kumlaumu hapo napo kuna tatizo.
Na alithibitisha kuwa, ni kweli mke wake yupo kwao, kwani kuna KAMKWALUZO kidogo kalitokea, lakini HAWAJAACHANA!
 
Aliye kuwa msemaji wa Simba na sasa msemaji wa Yanga Haji S Manara amesema ataishitaki Klabu ya Simba kwa kumtumikisha bila mkataba.

Manara ameyasema hayo akiwa anafanyiwa mahojiano na Divathebawse kwenye kipindi cha lovedavi cha Wasafi FM. Manara amesema Klabu ya simba ilimtumikisha kwa zaidi ya miaka 6 pasipo kuwa na mkataba hivyo ataishitaki club hiyo.

Manara ameongeza kwa kusema ataishitaki club hiyo baada ya kutoka kwenye mechi zake za club bingwa, pia amesema yeye ndiye alie fanya Simba ifahamike kwa kuwavuta mashabiki wengi kushabikia Simba.

Pia Manara amesema ndani ya simba kuna watu wanao mpa taarifa ya yanayo jilisababu kuna watu wanamfuatilia Manara.

Ameendelea kwa kusema simba imemuhujumu sana hadi kuingilia baadhi ya biashara zake za ubalozi wa makampuni, pia amesema ana siri nyingi za simba ambazo hata robo hajawahi kuzisema hivyo ipo siku siri hizo atazitoa hivyo ikifika muda huo siri zote atazitoa labda wamuuwe lakini kama yupo hai atazisema.
Haji Lopo lopo Manara
 
Mimi sio Simba wala Yanga,wala sio shabiki wa Mpira wa miguu ila kwa haya anayofanya Haji ni kama anatafuta watu wamdhalilishe kwa nguvu.

Anatishia kutoa siri za watu wakati yeye mwenyewe anajijua alivyo mchafu,watu wakianza kusema yake sijui uso wake ataweka wapi!!.

Kama anahisi anawajua sana watu na siri zao,basi ajue na yeye yake watu wanayajua vizuri.

Watu wanasemaga “msenge” hana mkole kumbe ni kweli!
Kweli jamaa hizo sifa anazo tafuta ndizo zitamshushia sifa.
 
Hakuna hata mmoja aliyezungumzia hayo madai yake ya kufanyishwa kazi bila mkataba miaka 6 zaidi ya kumlaumu hapo napo kuna tatizo.
Jamaa ana penda sifa sana yaani mpaka anakela
 
Aliye kuwa msemaji wa Simba na sasa msemaji wa Yanga Haji S Manara amesema ataishitaki Klabu ya Simba kwa kumtumikisha bila mkataba.

Manara ameyasema hayo akiwa anafanyiwa mahojiano na Divathebawse kwenye kipindi cha lovedavi cha Wasafi FM. Manara amesema Klabu ya simba ilimtumikisha kwa zaidi ya miaka 6 pasipo kuwa na mkataba hivyo ataishitaki club hiyo.

Manara ameongeza kwa kusema ataishitaki club hiyo baada ya kutoka kwenye mechi zake za club bingwa, pia amesema yeye ndiye alie fanya Simba ifahamike kwa kuwavuta mashabiki wengi kushabikia Simba.

Pia Manara amesema ndani ya simba kuna watu wanao mpa taarifa ya yanayo jilisababu kuna watu wanamfuatilia Manara.

Ameendelea kwa kusema simba imemuhujumu sana hadi kuingilia baadhi ya biashara zake za ubalozi wa makampuni, pia amesema ana siri nyingi za simba ambazo hata robo hajawahi kuzisema hivyo ipo siku siri hizo atazitoa hivyo ikifika muda huo siri zote atazitoa labda wamuuwe lakini kama yupo hai atazisema.
Mgema pombe katia maji
 
Namuamini kwasababu Simba Kama club hawajawahi kupinga tuhuma za kutomlipa stahiki yake. Pia hawajawahi kaudhihirishia kwamba walimlipa iwe kwa kutoa signed salary slips, au deposits zilizofanuwa na club kwenye account ya Manara.

Kitu ambacho sikiamini kabisa, eti Manara ni [emoji617][emoji169][emoji172]...... Hilo ni tango mporipori
Simba SC kama klabu kubwa ukanda wa Afrika Mashariki, Kati, na Kusini mwa jangwa la Sahara haiyafanyii kazi malalamiko ya mitandaoni au redioni, Manara alizoea kuuza sura mitandaoni ndio maana akakimbilia huko kuropoka akafukuzwa kazi, kama anadai aandike barua kwa uongozi wa Simba SC.
 
Kwanini hamkumtimua? Mwajiriwa akigoma ku sign mkataba maana yake amekataa kazi
Aliamua kujitolea kufanya kazi bila malipo. Wapo wengi tu wamejitolea kufanya kazi bila malipo, wengine ni hawa walioenda kusafisha kiwanja cha Bunju enzi hizo kikiwa na vichaka

1634183648263.png
 
Ataishitaki kwa minajili ipi? Yeye alikuwa Kibarua tu. Alipolialia akapewa option asainishwe 4m kwa mwezi ila asifanye mikataba kokote kule akaona ngoma ngumu akaendelea kupokea posho!

Sasa leo hii anapata wapi nguvu za kuishtaki Simba?
 
Mwanaume kusema "Nitatoa siri ya taasisi fulani au ya mtu fulani" ni aibu na pia ni fedheha kubwa kubwa sana,

Huyu jamaa yupo njiani kupotea na mdomo ndio utakaomponza,
Time will tell.
 
Back
Top Bottom