Manara atapewa adhabu na Karia kwa lengo la kisasi lakini kuhusu kufungiwa hilo jambo ni sawa na kusubiri kuvuna mpunga kwenye upupu

Manara atapewa adhabu na Karia kwa lengo la kisasi lakini kuhusu kufungiwa hilo jambo ni sawa na kusubiri kuvuna mpunga kwenye upupu

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Watu naona wanakimbilia kusema Manara aliruhiana maneno na karia lakini wanasau hilo neno "kurushiana" ni kitenzi cha kutendana maana nae karia alikuwa akirusha maneno.

Wengi tunafahamu Karia ni Simba dam dam na mafanikio ya Yanga kwake yamekuwa ni sawa na kisu kilichomgonga mfupa. siku ya jana tumeona clip ambayo nae pa alikuwa akimkaripia Manara, Kwaninii hili halizungumziwi ? au kwa sababu yeye ni raisi ? Tena Wadau waliokuwepo karibu yao wanadai kwamba Karia ndie alianzisha varangati kwa kushindwa kujizuia kuficha hisia zake za chuki dhidi ya Yanga ndio maana hata video ilikatwa ili ionyeshe sehemu wanayorushiana maneno walikata kipande cha ukorofi wa Karia.... Hivyo Tume ya Maadili imuite karia pia ajitetee kwa kukaripia Manara.


Ila kuhusu Manara kufungiwa hilo mlisahau (Hasa mashabiki wa Simba wanaogongwa kisawasawa na maneno ya kukera ya Manara)

sana sana atapigwa faini ya milioni 10 mambo yataisha fasta, ikienda zaidi basi ni adhabu ya kutojihusisha na soka kwa mwezi na hapo ni kabla hata ya yanga day.

Manara akiguswa ni yang imeguswa ohoo! ana backup nzito nzito mfano kutoka kwa tajiri gsm ambae pesa za udhamini wake wa bilioni 2 zinawanenepesha tff, kina Kikwete nao pia watamwambia Karia atulie tu maana hio nafasi hajajiweka hapo , n.k.

kusubiri Manara kufunguwa ni sawa na kusubiri kuvuna mpunga kwenye magugu.
 
Wadau wanadai Rais Karia ndio mchokozi.
Hivyo Tume ya Maadili imuite karia pia ajitetee. Kumuita Haji Manara pekee ni hukumu tiyari. Ni kosa kubwa. Wote ni waarifu.

Tena Polisi ichukue hii kesi siyo TFF
 
Kwahiyo umetuletea ripoti ya kikao TFF ambacho bado hakijakaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu naona wanakimbilia kusema Manara aliruhiana maneno na karia lakini wanasau hilo neno "kurushiana" ni kitenzi cha kutendana maana nae karia alikuwa akirusha maneno.

Wengi tunafahamu Karia ni Simba dam dam na mafanikio ya Yanga kwake yamekuwa ni sawa na kisu kilichomgonga mfupa. siku ya jana tumeona clip ambayo nae pa alikuwa akimkaripia Manara, Kwaninii hili halizungumziwi ? au kwa sababu yeye ni raisi ? Tena Wadau waliokuwepo karibu yao wanadai kwamba Karia ndie alianzisha varangati kwa kushindwa kujizuia kuficha hisia zake za chuki dhidi ya Yanga ndio maana hata video ilikatwa ili ionyeshe sehemu wanayorushiana maneno walikata kipande cha ukorofi wa Karia.... Hivyo Tume ya Maadili imuite karia pia ajitetee kwa kukaripia Manara.

Huenda Manara alivyo na utani alimwambia Karia "utanivalisha medali mpaka utavyostaafu" ila karia akawaka, na kama tunavyomjua Manara ukianza kumkaripia hio mechi utashindwa tu, Karia kwa sasa anasahau kwamba nae alikuwa akimrushia maneno lakini hii ndio bongo bwana, Cheo kitatumika kukulinda na kinatumika kulipa kisasi.

Ila kuhusu Manara kufungiwa hilo mlisahau (Hasa mashabiki wa Simba wanaogongwa kisawasawa na maneno ya kukera ya Manara)

sana sana atapigwa faini ya milioni 10 mambo yataisha fasta, ikienda zaidi basi ni adhabu ya kutojihusisha na soka kwa mwezi na hapo ni kabla hata ya yanga day.

Manara ana backup nzito nzito mfano kutoka kwa tajiri gsm ambae pesa za udhamini wake wa bilioni 2 zinawanenepesha tff, kina Kikwete nao pia watamwambia Karia atulie tu maana hio nafasi hajajiweka hapo , n.k.

kusubiri Manara kufunguwa ni sawa na kusubiri kuvuna mpunga kwenye magugu.
Mnapokosea ni kuleta usimba na uyanga kwenye tukio la kishenzi Kama lile, huyu huyu Karia mnaesema ni Simba ndio amekubali GSM kudhamini ligi (huku mkijua ni hasimu wa Simba kibiashara)
Kwa Kua imewafavor mmekaa kimya Ila hili linalomgusa muajiriwa wenu ndio mnaona usimba wake.

Sometimes muwe mnashirikisha ubongo, kuwa shabiki kusikuondolee common sense, Haji anapaswa kuwa na mipaka, acheni ujinga wa kumtetea kwa kuingiza issue ya Simba na Yanga.
 
Watu naona wanakimbilia kusema Manara aliruhiana maneno na karia lakini wanasau hilo neno "kurushiana" ni kitenzi cha kutendana maana nae karia alikuwa akirusha maneno.

Wengi tunafahamu Karia ni Simba dam dam na mafanikio ya Yanga kwake yamekuwa ni sawa na kisu kilichomgonga mfupa. siku ya jana tumeona clip ambayo nae pa alikuwa akimkaripia Manara, Kwaninii hili halizungumziwi ? au kwa sababu yeye ni raisi ? Tena Wadau waliokuwepo karibu yao wanadai kwamba Karia ndie alianzisha varangati kwa kushindwa kujizuia kuficha hisia zake za chuki dhidi ya Yanga ndio maana hata video ilikatwa ili ionyeshe sehemu wanayorushiana maneno walikata kipande cha ukorofi wa Karia.... Hivyo Tume ya Maadili imuite karia pia ajitetee kwa kukaripia Manara.

Huenda Manara alivyo na utani alimwambia Karia "utanivalisha medali mpaka utavyostaafu" ila karia akawaka, na kama tunavyomjua Manara ukianza kumkaripia hio mechi utashindwa tu, Karia kwa sasa anasahau kwamba nae alikuwa akimrushia maneno lakini hii ndio bongo bwana, Cheo kitatumika kukulinda na kinatumika kulipa kisasi.

Ila kuhusu Manara kufungiwa hilo mlisahau (Hasa mashabiki wa Simba wanaogongwa kisawasawa na maneno ya kukera ya Manara)

sana sana atapigwa faini ya milioni 10 mambo yataisha fasta, ikienda zaidi basi ni adhabu ya kutojihusisha na soka kwa mwezi na hapo ni kabla hata ya yanga day.

Manara ana backup nzito nzito mfano kutoka kwa tajiri gsm ambae pesa za udhamini wake wa bilioni 2 zinawanenepesha tff, kina Kikwete nao pia watamwambia Karia atulie tu maana hio nafasi hajajiweka hapo , n.k.

kusubiri Manara kufunguwa ni sawa na kusubiri kuvuna mpunga kwenye magugu.
TFF na Bodi ya Ligi wamekula hela nyingi za GSM hivyo Manara hawezi kufanywa chochote
 
Watu naona wanakimbilia kusema Manara aliruhiana maneno na karia lakini wanasau hilo neno "kurushiana" ni kitenzi cha kutendana maana nae karia alikuwa akirusha maneno.

Wengi tunafahamu Karia ni Simba dam dam na mafanikio ya Yanga kwake yamekuwa ni sawa na kisu kilichomgonga mfupa. siku ya jana tumeona clip ambayo nae pa alikuwa akimkaripia Manara, Kwaninii hili halizungumziwi ? au kwa sababu yeye ni raisi ? Tena Wadau waliokuwepo karibu yao wanadai kwamba Karia ndie alianzisha varangati kwa kushindwa kujizuia kuficha hisia zake za chuki dhidi ya Yanga ndio maana hata video ilikatwa ili ionyeshe sehemu wanayorushiana maneno walikata kipande cha ukorofi wa Karia.... Hivyo Tume ya Maadili imuite karia pia ajitetee kwa kukaripia Manara.

Huenda Manara alivyo na utani alimwambia Karia "utanivalisha medali mpaka utavyostaafu" ila karia akawaka, na kama tunavyomjua Manara ukianza kumkaripia hio mechi utashindwa tu, Karia kwa sasa anasahau kwamba nae alikuwa akimrushia maneno lakini hii ndio bongo bwana, Cheo kitatumika kukulinda na kinatumika kulipa kisasi.

Ila kuhusu Manara kufungiwa hilo mlisahau (Hasa mashabiki wa Simba wanaogongwa kisawasawa na maneno ya kukera ya Manara)

sana sana atapigwa faini ya milioni 10 mambo yataisha fasta, ikienda zaidi basi ni adhabu ya kutojihusisha na soka kwa mwezi na hapo ni kabla hata ya yanga day.

Manara ana backup nzito nzito mfano kutoka kwa tajiri gsm ambae pesa za udhamini wake wa bilioni 2 zinawanenepesha tff, kina Kikwete nao pia watamwambia Karia atulie tu maana hio nafasi hajajiweka hapo , n.k.

kusubiri Manara kufunguwa ni sawa na kusubiri kuvuna mpunga kwenye magugu.
Unazunguka bure sema tu manara ni punga wa gsm,watu wanaoumulia kisogo
 
Sungura mwenye anaetembea na kina tembo hagusiki kirahisi, Huyo Karia kwa zama hizi atiulie tu, akikosea step atakuwa kawagusa kina Kikwete, nadhani sihitaji sana kukuelezea mzee wa Msoga alivyo na controll katika hiki kipindi,
Kikwete ndo nani?yani aadhibiwe manara halaf useme kikwet?anahusika vipi hap, he is powerless kwenye mfumo wa TFF ,humjui kikwete vzuri, hata hapendi ujinga au kuharb image yake
 
Unazunguka bure sema tu manara ni punga wa gsm,watu wanaoumulia kisogo
Hata Mhandisi naye anabutua
JamiiForums-1748518016.jpg
 
Watu naona wanakimbilia kusema Manara aliruhiana maneno na karia lakini wanasau hilo neno "kurushiana" ni kitenzi cha kutendana maana nae karia alikuwa akirusha maneno.

Wengi tunafahamu Karia ni Simba dam dam na mafanikio ya Yanga kwake yamekuwa ni sawa na kisu kilichomgonga mfupa. siku ya jana tumeona clip ambayo nae pa alikuwa akimkaripia Manara, Kwaninii hili halizungumziwi ? au kwa sababu yeye ni raisi ? Tena Wadau waliokuwepo karibu yao wanadai kwamba Karia ndie alianzisha varangati kwa kushindwa kujizuia kuficha hisia zake za chuki dhidi ya Yanga ndio maana hata video ilikatwa ili ionyeshe sehemu wanayorushiana maneno walikata kipande cha ukorofi wa Karia.... Hivyo Tume ya Maadili imuite karia pia ajitetee kwa kukaripia Manara.

Huenda Manara alivyo na utani alimwambia Karia "utanivalisha medali mpaka utavyostaafu" ila karia akawaka, na kama tunavyomjua Manara ukianza kumkaripia hio mechi utashindwa tu, Karia kwa sasa anasahau kwamba nae alikuwa akimrushia maneno lakini hii ndio bongo bwana, Cheo kitatumika kukulinda na kinatumika kulipa kisasi.

Ila kuhusu Manara kufungiwa hilo mlisahau (Hasa mashabiki wa Simba wanaogongwa kisawasawa na maneno ya kukera ya Manara)

sana sana atapigwa faini ya milioni 10 mambo yataisha fasta, ikienda zaidi basi ni adhabu ya kutojihusisha na soka kwa mwezi na hapo ni kabla hata ya yanga day.

Manara ana backup nzito nzito mfano kutoka kwa tajiri gsm ambae pesa za udhamini wake wa bilioni 2 zinawanenepesha tff, kina Kikwete nao pia watamwambia Karia atulie tu maana hio nafasi hajajiweka hapo , n.k.

kusubiri Manara kufunguwa ni sawa na kusubiri kuvuna mpunga kwenye magugu.

Nikuulize swali: Kati ya Karia na Manara, nani kashika kisiki cha mpingo na nani kashika makali ya kisu?
 
Watu naona wanakimbilia kusema Manara aliruhiana maneno na karia lakini wanasau hilo neno "kurushiana" ni kitenzi cha kutendana maana nae karia alikuwa akirusha maneno.

Wengi tunafahamu Karia ni Simba dam dam na mafanikio ya Yanga kwake yamekuwa ni sawa na kisu kilichomgonga mfupa. siku ya jana tumeona clip ambayo nae pa alikuwa akimkaripia Manara, Kwaninii hili halizungumziwi ? au kwa sababu yeye ni raisi ? Tena Wadau waliokuwepo karibu yao wanadai kwamba Karia ndie alianzisha varangati kwa kushindwa kujizuia kuficha hisia zake za chuki dhidi ya Yanga ndio maana hata video ilikatwa ili ionyeshe sehemu wanayorushiana maneno walikata kipande cha ukorofi wa Karia.... Hivyo Tume ya Maadili imuite karia pia ajitetee kwa kukaripia Manara.

Huenda Manara alivyo na utani alimwambia Karia "utanivalisha medali mpaka utavyostaafu" ila karia akawaka, na kama tunavyomjua Manara ukianza kumkaripia hio mechi utashindwa tu, Karia kwa sasa anasahau kwamba nae alikuwa akimrushia maneno lakini hii ndio bongo bwana, Cheo kitatumika kukulinda na kinatumika kulipa kisasi.

Ila kuhusu Manara kufungiwa hilo mlisahau (Hasa mashabiki wa Simba wanaogongwa kisawasawa na maneno ya kukera ya Manara)

sana sana atapigwa faini ya milioni 10 mambo yataisha fasta, ikienda zaidi basi ni adhabu ya kutojihusisha na soka kwa mwezi na hapo ni kabla hata ya yanga day.

Manara ana backup nzito nzito mfano kutoka kwa tajiri gsm ambae pesa za udhamini wake wa bilioni 2 zinawanenepesha tff, kina Kikwete nao pia watamwambia Karia atulie tu maana hio nafasi hajajiweka hapo , n.k.

kusubiri Manara kufunguwa ni sawa na kusubiri kuvuna mpunga kwenye magugu.

BUGGATI AKIGUSWA NI YANGA IMEGUSWA.

Na Thadei Ole Mushi.

Hima hima wanayanga wote Duniani, Ukiachana na Magoli anayofunga Mayele uwanjani, ukiachana na ubora wa kina Feisal, Ukiachana na Mpunga mzito anaoutoa GSM kwenye timu, ukiachana na ufundi wa makocha wetu kunakiumbe kinapigana pale yanga kufa na kupona kuiheshimisha club yetu.

Haji Manara, El-Buggat alikuja Yanga ikiwa ina GSM na ina kila kitu isipokuwa kitu kimoja tu Yanga ilikuwa haina Saikolojia nje ya uwanja na kujiamiani jambo ambalo limesababisha mwaka huu Yanga kunyanyua makombe matatu.

Manara anafanya kazi kubwa sana pale Yanga, anacheza game zote za nje ya uwanja, anaitangaza brand yetu vilivyo, anatufanya tujiamini, anapigana vita vyote nje ya uwanja sio sahihi yeye kwa sasa kushambuliwa na sisi kukaa kimya. Wanayanga wote wanapaswa sasa kuamka na kumsemea huyu mpambanaji wetu.

Yanga huko nyuma imefanyiwa hujma nyingi sana chini ya uongozi huu huu unaomtuhumu Haji kwa sasa, nani asiyejua kuwa Karia ni Simba na mpango wake ni kuidhoifisha Yanga? anajua ukimpiga Manara akatulia Mengi ya Hovyo na Hujuma Yanga itafanyiwa na hakuna wa kusema.

Issue ya Arusha ipo hivi.

Manara aliitwa na Mh John Mongela mkuu wa Mkoa wa Arusha jukwaa kuu. Manara alipokwenda Karia akaanza kumdhihaki na kumtolea maneno ya Kashfa. Kiuhalisia Karia alienda Arusha sio kama Rais wa TFF bali alikuwa amebeba agenda za COASTAL Union. Ndio maana hadharani kabisa alisema kuwa mmesawazisha ila mlikuwa na "Kinyesi kwenye chupi" maneno haya aliyasikia mkuu wa wilaya Arusha DC Mtanda na alisikia pia Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Karia hapendi mafanikio ya Yanga ndio maana Manara anapigwa vita sana. Ukiachana na Manara mwingine anayepigwa vita ni Mayele.

Wanayanga Bugatt akiguswa ni Yanga imeguswa. Kila mtu sasa asimame na Manara na Yanga yetu. Tupo vitani tuipigane wote.

Tumetukanwa sana
Tumetaniwa sana
Tumeonewa sana.

Kwa sasa inatosha Finally Manara sio Kichaa. Inasikitisha kuona hii vita kaachiwa Manara mwenyewe... Akifungiwa ni Yanga imefungiwa. Amkeni na kila mwanayanga ashare huu ujumbe. Mafanikio yetu yamekuja na Changamoto.... lazima tuzikabili tuwe Agresive

Ole Mushi
0712702602
 
Back
Top Bottom