Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ukae wewe na ki handbag chako..*
manara bana[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
Nimekuelewa mkuuManara noma sana. Ambao hawajui profession ya manara ndo hukaa kumponda mara hana akiba ya maneno mara blahbla nyng, ila huyo jamaa hio ndo kazi yake. Yy mwenyewe kasema, Lobbying(Kushawishi) ndo kazi yake. "Kuingia hapa, kusema hv, kuongea hiki, kutokea hapa etc....." yote ni ilimradi mambo yaende.
Alikuwa kipoozeo uko.....
Hawezi kujisikia vyovyote vile vibaya. Hakukosea chochote, ni ukweli unaosimama bayana hadi sasa.Hivi akiisikiliza hii clip anajisikiaje wakati huu!
[emoji115] [emoji123]Alimaliza yote akiwa Simba.
Hana ujanja,Ogopa sana technology[emoji375][emoji375]