Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nilijua unaniona hapa nilipoJF Mkuu, kwani umehisi nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua unaniona hapa nilipoJF Mkuu, kwani umehisi nini?
Ndiyo ninakuona unapataNilijua unaniona hapa nilipo
Napata niniNdiyo ninakuona unapata
Kama anajiona mkamilifu basi asijifichie kwenye ualbino.Kwasababu hiyo ndo mnataka awe anaomba misaada?
Wewe mbona husimami kudai haki za wanaume😅😅.Kama anajiona mkamilifu basi asijifichie kwenye ualbino.
Wine!Napata nini
Dah i wish ingekuwa hivyo. Nakunywa maji tu hapaWine!
Hakika!Haitaji msaada.
Napenda jinsi ambavyo anajikubali na hali yake hajioni kama ni mlemavu.
Yeye asifanye kama fursa lakini maisha ya kibongo, ukitoboa unawaokoa wenzako. Kwa ushawishi alokuwa nao ndo angekuwa mtetezi wao namba Moja. Huwezi kuwa nyani wakati wewe ni bundi.Hataki kufanya ulemavu wake kama fursa
Wakati mwingine kutafuta kauchochoro ka kutokea ni kawaida. Sio yeye tu ni kila binadamu regardless of age or physical traits.Lakini huwa akitaitiwa anasema anasemwa kwa sababu yeye ni albino
👏Anabadili mademu wakali ambao sisi tunaojiona wazima hatuwezi miliki
Dah i wish ingekuwa hivyo. Nakunywa maji tu hapa
[/QUOTE
Karibu tupate wine
Hataki hata akiombwa ahudhurie tamasha kama mgeni rasmi anawachomolea! Hataki hata kuwaona wanapoomba msaada wake!Kwasasa amepotea kwenye ramani ya soka, ni heri akawe msemaji wa wao to
Kwanini yakimfika shingoni analia kwamba kwamba kisa yeye ni albino!?