luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Njia mbili zilimshinda fisi.Wadau wa sports hasa football Hamjambo !
Nimefuatilia hulka ya msemaji mpya wa club ya Yanga, nimejaribu kulinganisha na hulka zake kipindi yupo kwa mwajir wake wa zaman Simba SC, nimegundua utofauti mkubwa Sanaa ktk utendaj wake wa kazi
Siku izi hakurupuki ovyo kuitisha press Wala kwenda redion kuongelea klabu yake ya sasa pamoja na kuponda wengine
Pia siku izi amekuwa NI mtu wa kurusha tu vijembe mtandaoni ..yaan ni ana tumia mitandao ya kijamii zaidi
My take
Huenda ikawa mwajiri mpya amempa TORs ambazo NI tight sanaaa au ana mueshimu zaidi mwajiri wake wa sasa kuliko ambavyo alikuwa ana mueshimu mwajiri wake wa zamani
Ear time?Manara kajishtukia juhudi zote alizokuwa anafanya kuwachokonoa viongozi wa Simba wanamjibu kwa kimya.kila akijalibu jipya wanampuuza,hata hivyo vituo vya redio havitaki Tena kumpa ear time Tena Mana navyo vimepuuzwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ear time?
umeona ear time tu menginw hujasoma?Ear time?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ear time?
Sasa kwa akili ile atabattle na nani pale?watu wamemlia buyu,anaishia kutukanwa tu na mashabiki,Hata ungekuwa wewe unakashifu viongozi wa timu pinzani halafu hawakujibu ,unaishia kujibiwa na mashabiki lazima ukose nguvu ya kuendelea na kejeli
Kukodi ukumbi serena kufanya press ni milioni tano,atazitoa wapi utopwinyo,kurusha mtandaoni ni bando la bukuWadau wa sports hasa football Hamjambo !
Nimefuatilia hulka ya msemaji mpya wa club ya Yanga, nimejaribu kulinganisha na hulka zake kipindi yupo kwa mwajir wake wa zaman Simba SC, nimegundua utofauti mkubwa Sanaa ktk utendaj wake wa kazi
Siku izi hakurupuki ovyo kuitisha press Wala kwenda redion kuongelea klabu yake ya sasa pamoja na kuponda wengine
Pia siku izi amekuwa NI mtu wa kurusha tu vijembe mtandaoni ..yaan ni ana tumia mitandao ya kijamii zaidi
My take
Huenda ikawa mwajiri mpya amempa TORs ambazo NI tight sanaaa au ana mueshimu zaidi mwajiri wake wa sasa kuliko ambavyo alikuwa ana mueshimu mwajiri wake wa zamani