Manara: Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi

Manara: Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi

BabaMia

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
270
Reaction score
554
“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”

“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara

1731156331879.jpg
 
“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”

“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara

#KitengeSports
Sasa wewe deal kama unalinda brand yako kulikoni kulalamika?
 
“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”

“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
View attachment 3147843

"Toto lialia,toto lililojaa gubu, toto lisiloeleweka. Spoiled brat."
 
“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”

“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
View attachment 3147843
Sasa kuambiwa ni mwanachama shida ipo wapi? Huyu mtu anapenda sana kujipa umuhimu asiokuwa nao. Alitaka Hersi ajubu vipi kwenye lile swali? Alitaka aseme Manara ni makamu wa rais?
 
Tulipomfukuza mkaona chema ,hamkuangalia ujinga ujinga wake, alafu jiulize kama ni mtu mzuri kwanini alisubiri mpaka chura churani likandwe asali ndio atoke? Kama kuna siri zenu anazijua zungu pori havina muda
Keshasema muda ukifika ataongea yote🤣🤣 nahisi anawa blackmail ili wamrudishe. Mimi nimeshangaa timu yako iko kwenye maumivu unachochea kuni? Watajuta kukumbatia transformer 😄😄
 
“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”

“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
View attachment 3147843
Engineer...soma hioo
 
Back
Top Bottom