moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Tatizo lake ukimkaribisha sebuleni anataka aingie chumbani.Kila anapoenda lazima agombane na watu
Mara nyingi hujiona anajua saana fitna za mpira kuliko wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lake ukimkaribisha sebuleni anataka aingie chumbani.Kila anapoenda lazima agombane na watu
Manara ana vijitabia vya ukikeni sanaSasa kuambiwa ni mwanachama shida ipo wapi? Huyu mtu anapenda sana kujipa umuhimu asiokuwa nao. Alitaka Hersi ajubu vipi kwenye lile swali? Alitaka aseme Manara ni makamu wa rais?
Alipotoka wapi? Pambaneni na hali zenuHuyu arudi alipotoka
Mkuu fafanua..hayo maneno ya kiingereza mbona umeyajengea“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”
“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
View attachment 3147843
Correction. Simba alifukuzwaSi mlimfurahia alipoikimbia Simba....acha mlinywe
Hayuko mbali🤣🤣🤣 na anajua timing yaani anaweka pilipili kwenye kidonda.Tulisema amekaribia kusema
Hata Yanga kafukuzwa Kisomi😄😄Correction. Simba alifukuzwa
Hujui alipotoka?Alipotoka wapi? Pambaneni na hali zenu
Habari za siku mchumbaWasomali wana roho mbaya mno.Ila inakuwaje wewe mtanzania unanyanyaswa na Msomali?Mimi angelijua jiji.
KARMAUmeongea pumba na kwa woga. Nyie ndo mnapa kichwa manara. Anajiona yeye ndo mkubwa kuliko Yanga. Sasa alichokosea Hersi hapo ni nini? Manara siyo mwanachama wa kawaida? Aitishe kikao cha nini? Acheni ujinga na imani zenu za kipumbavu. Kama unampenda Manara kaoelewe naye. Manara kaikuta Yanga na ataiacha.