Manara: Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi

Manara: Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi

Huyu anagombana na kila mtu zaidi ya asilimi sabini ya watangazaji na wachambuzi amegombana, yaani ni mtu wa kutafuta tafuta huruma. Tokea siku ya kwanza sijawahi kumkubali pale Yanga,basi tu hatuna maamuzi.
 
Anyway wakati wa CCM umefikia kuamisha magori, GSM ameshaambiwa ni wakati sasa wa SSC kushine sio Yanga tena.

Hizi team mbili na mpira wa bongo uko kisiasa zaidi, hauna maana hata kupoteza nao muda.
 
Vyovyote vile, Hersi alikosea sana kuongea vile. Kuna mambo unatakiwa kutumia busara kuyahandle, ile ilikuwa kumdhalilisha Manara wakati alikuwa anaipambania klabu.

Sawa, baada ya adhabu ya kufungiwa Manara alibaki kama mwanachama ndani ya klabu, kwanini hakuitisha kikao cha ndani kuliweka hilo sawa?
Au kwanini asingeongea na Manara kumfahamisha hilo kama boss wa klabu na badala yake akaenda kuongea hivyo kwenye media?
Niliwahi kuweka uzi humu kuwa Hersi huenda ni mtendaji mzuri ila sio mzri kwenye media,aachane na exclusive interview,siku ile akiongea kama hakujiandaa,hakutumia diplomacy,angeweza kujibu hilo swali kisiasa tu
 
Huyu anagombana na kila mtu zaidi ya asilimi sabini ya watangazaji na wachambuzi amegombana, yaani ni mtu wa kutafuta tafuta huruma. Tokea siku ya kwanza sijawahi kumkubali pale Yanga,basi tu hatuna maamuzi.
Sina nia mbaya ika walemavu wote ndio walivyo
 
Nadhani alipendwa ili kuisaidia Yanga ishinde ligi na nje ya nchi.
Na sasa Yanga inashinda.
Sasa apendwe tena kwa lipi ?
 
“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”

“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
View attachment 3147843
Manara hopeless kabisa, unalazimishaje urafiki na mwanaume mwenzio bana. Mwanaume mwenzako kutana naye kwenye mambo ya msingi, ikishindikana fata maisha yako.
 
Waaaaananchiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiìii iiiiiiiiiiiiiio iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii meme mc toka kigogo sambusa

Wananchi: aisee jamaa linawakera hili hapa tumepata

Zungulissa; Makolo nawajua sanaaaa kwa kweli haya masupu supu mtakunywa sana

Wananchi; Manyaraaaa tupe tupeeeeee

Ghafla bin vuuuuuuuuh

Zungulisa; Wallah hili siwezi kulikalia kimnya ,nimenyanyaswa sana na Hersi mimi mtu mbaya yule hafai hata kidogo bora Ngungu boy

Wananchi; Tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Zungulisa; Tena nna mengi ntaongea muda ukifika nna siri nyingi sanaaaaa

Wananchi;🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹
 
Sawa, baada ya adhabu ya kufungiwa Manara alibaki kama mwanachama ndani ya klabu, kwanini hakuitisha kikao cha ndani kuliweka hilo sawa?
Au kwanini asingeongea na Manara kumfahamisha hilo kama boss wa klabu na badala yake akaenda kuongea hivyo kwenye media?
Ukiona hivyo jua kuna vitu vinaendelea chini chini kati yao.
Injia anaamua kumuepuka.
 
Back
Top Bottom