Sasa wewe deal kama unalinda brand yako kulikoni kulalamika?“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”
“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
#KitengeSports
“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”
“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
View attachment 3147843
"Toto lialia,toto lililojaa gubu, toto lisiloeleweka. Spoiled brat."
Sasa kuambiwa ni mwanachama shida ipo wapi? Huyu mtu anapenda sana kujipa umuhimu asiokuwa nao. Alitaka Hersi ajubu vipi kwenye lile swali? Alitaka aseme Manara ni makamu wa rais?“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”
“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
View attachment 3147843
Bomba za sindano mbazo mmezipenyeza wenyewe ili mtengeneze scandal? Si mngezipeleka kwa mkemia ili ajiridhishe kujua zina nini halafu watuhumiwa waitwe kupimwa ili kuthibitisha?Zile bomba za sindano
roho mbaya imepandikizwa tu.Wasomali wana roho mbaya mno.Ila inakuwaje wewe mtanzania unanyanyaswa na Msomali?Mimi angelijua jiji.
Amenyanyaswaje?Wasomali wana roho mbaya mno.Ila inakuwaje wewe mtanzania unanyanyaswa na Msomali?Mimi angelijua jiji.
Si mlimfurahia alipoikimbia Simba....acha mlinywehili jamaa lina matatizo kichwani ila linajiona liko sawa
Keshasema muda ukifika ataongea yote🤣🤣 nahisi anawa blackmail ili wamrudishe. Mimi nimeshangaa timu yako iko kwenye maumivu unachochea kuni? Watajuta kukumbatia transformer 😄😄Tulipomfukuza mkaona chema ,hamkuangalia ujinga ujinga wake, alafu jiulize kama ni mtu mzuri kwanini alisubiri mpaka chura churani likandwe asali ndio atoke? Kama kuna siri zenu anazijua zungu pori havina muda
Engineer...soma hioo“Kwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yangu”
“Tulikuwa ‘very close’, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtu” —— Haji Manara
View attachment 3147843
Mlimkaribisha kwa shangwe na ndelemo . Sasa yamewakuta mnaanza kutafuta huruma. Komaeni naye hivyohivyo hakuna namna.hili jamaa lina matatizo kichwani ila linajiona liko sawa
Unaongelea hii siku? 😅Tulipomfukuza mkaona chema ,hamkuangalia ujinga ujinga wake, alafu jiulize kama ni mtu mzuri kwanini alisubiri mpaka chura churani likandwe asali ndio atoke? Kama kuna siri zenu anazijua zungu pori havina muda