Manara ndio kaipa mafanikio Uto...πππβKwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yanguβ
βTulikuwa βvery closeβ, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtuβ ββ Haji Manara
View attachment 3147843
Vyovyote iwavyo ilikua ni kosa kubwa sana kumchukua bwana yule, na nimejifunza pia nikimchukua mtu alafu akaanza blah blah kule nilikua napewa maharagwe ya chumvi sijui nakula chakula cha mbuzi namkata mikofi alafu nafukuza,Vyovyote vile, Hersi alikosea sana kuongea vile. Kuna mambo unatakiwa kutumia busara kuyahandle, ile ilikuwa kumdhalilisha Manara wakati alikuwa anaipambania klabu.
Mwenda kwao sio mtoro...Tatizo la kujilazimisha mapenzi na timu. Atawezaje kurudi kuwa shabiki wa Simba. Mwisho wa ubaya ni aibu
Umeongea pumba na kwa woga. Nyie ndo mnapa kichwa manara. Anajiona yeye ndo mkubwa kuliko Yanga. Sasa alichokosea Hersi hapo ni nini? Manara siyo mwanachama wa kawaida? Aitishe kikao cha nini? Acheni ujinga na imani zenu za kipumbavu. Kama unampenda Manara kaoelewe naye. Manara kaikuta Yanga na ataiacha.Vyovyote vile, Hersi alikosea sana kuongea vile. Kuna mambo unatakiwa kutumia busara kuyahandle, ile ilikuwa kumdhalilisha Manara wakati alikuwa anaipambania klabu.
Sawa, baada ya adhabu ya kufungiwa Manara alibaki kama mwanachama ndani ya klabu, kwanini hakuitisha kikao cha ndani kuliweka hilo sawa?
Au kwanini asingeongea na Manara kumfahamisha hilo kama boss wa klabu na badala yake akaenda kuongea hivyo kwenye media?
Nimesha ukumbuka ule msemo wawazee wetu usiache mbachao kwa msara upitaoπππβKwa sasa sina mahusiano mazuri na Hersi, hatujazungumza kama miezi miwili hivi. Sina la kuongea nae maana yeye alisema mimi ni Mwanachama tu hivyo siwezi kumtafuta nalinda brand yanguβ
βTulikuwa βvery closeβ, Yeye ndiyo alisema mimi ni Mwanachama na Kutokana na mazingira unakaa pembeni unatazama tu maana Yanga ni taasisi na sio mtuβ ββ Haji Manara
View attachment 3147843
Ndo wewe mayoo au nakwikolanejagaWasomali wana roho mbaya mno.Ila inakuwaje wewe mtanzania unanyanyaswa na Msomali?Mimi angelijua jiji.
Kila anapoenda lazima agombane na watuhili jamaa lina matatizo kichwani ila linajiona liko sawa
Mpaka hapo Sisi Tuliosoma Quba tushajua tatizo lipo na nani!!!!?Kila anapoenda lazima agombane na watu
Kanyanyaswaje???Wasomali wana roho mbaya mno.Ila inakuwaje wewe mtanzania unanyanyaswa na Msomali?Mimi angelijua jiji.