Manara ni limbukeni wa mapenzi kitakachomkuta kwa Zaiylissa asiseme hatukumwambia

Wanaume hia wanakua miaka tu.
Muache ale mtoto huyo maisha yenyewe mafupi.
 
Yanakuhusu? Yaani Manara amkaze demu wake wewe uumie 🀣🀣
 
Punguza umbea maana haujaweka picha
 
Ya Zai na Manara waachie wenyewe
 
Halafu unaweza kukuta mbwembwe zote aonekane kidume kumbe ndani hamna kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sitasahau yale maneno alivyoambiwa na Mzee Yusuph na Hassan Mwakinyo.

Wanaume kama haji huwa hawajiamini angalia hata wanaume malaya wanaobadili badili wanawake hawajiamin na kitandani ni zero
 
Wanaume kama haji huwa hawajiamini angalia hata wanaume malaya wanaobadili badili wanawake hawajiamin na kitandani ni zero
Ndicho alichoambiwa na mzee yusufu hicho , asipoangalia kila demu atamkimbia, Mzee yusufu alimwambia wanawake wanachotaka kitanda kipige kelele hawakufuata pesa hao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kama uwezo kitandani zero utaishia kulalamika tu ,kila mwanamke atakuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…