Huyu akienda Shinyanga bila ulinzi atarudi bia mikono nyambafuManara anapenda sana kiki,,anapenda kuvuta attention za watu..
Hahahaaa. Kazi ipo pale.Aaache ujuha wake. Ana matatizo ya kichwa nini. Yeye na mtindio wake wa ubongo asituzingue. Yanga na Simba wametoka mbali utani wa jadi umeanza hata babaake hajazaliwa leo aisambaratishe Yanga kwa upuuzi waje. Acha hizo dogo.
Jana akihojiwa na kituo cha Azam live kutoka Namfua stadium,msemaji wa simba Haji manara amesema,", Siku ya jumanne ataongea mambo mazito dhidi ya Yanga na kuanzia Siku hiyo wanayanga hawatatumia mitandao ya kijamii
Njooni tubashiri,ni mambo gani hayo ambayo Manara ataongea mpaka aivuruge Yanga
Au tambo za mpira wa miguu,watani wa jadi
Ni kweli jumanne Yanga watasambaratika?
Hahahaaa. Na ndio anakoelekea aisee.Huyu Manara karibia atachanganyikiwa na kuwa kichaa kabisa.
Hajielewi huyu mtu
Sema wewe shem.Pimbi kweli huyu jamaa
Hahahaaa. Tuko sawa Mkuu.Manara ameshachanganyikiwa, ye anajua ni maneno gani atayaongea ili yanga tuumie hakuna, mimi kama fan wa yanga maneno ya Kuongea ili niumie moyo wangu na nisitumie mitandao ya kijamii labda yatoke kwa malaika sio kwa huyu mshamba wa kizaramo
Achana na kiingereza mkuu tumia kiswahili tuHahahahahaaa. Wana "fluctuation"!
[emoji16][emoji16][emoji16]Achana na kiingereza mkuu tumia kiswahili tu
Ndio, kwa Nini wasiwe waswahili na treni iliyobeba kiswahili iliharibikia Tabora? Hebu niambie Nani anaongea kiswahili kizuri kama mnyamwezi? Nimekuelewa ila nadhani jibu hilo linakufaa [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hajawazidi wanyamwezi
Ndio maana ya watani na utani mkuuManara anapenda sana kiki,,anapenda kuvuta attention za watu..
Muombe samahani Manara huwezi kumlinganisha na yule mzee Pangu PakavuHuyu jamaa Zimepungua kidogo kichwani.
Manara na Mzee Akilimali hawana tofauti.