Manara: Yanga msishiriki CAFCC ni kombe la losers

Manara: Yanga msishiriki CAFCC ni kombe la losers

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

"Kombe la shirikisho ni kombe la loser, hata kama jana Yanga ingeshinda hata siyo Ishu. Siyo Champions League ile."

Simba wote tumefurahi sana Yanga kupigwa. Tuna sababu za msingi kufurahi. Video hapo juu ni moja ya sababu. Mmeacha watu wenu wanaropoko kama wehu, halafu leo mnataka tuwaombee mema, haiwezekani.

Mliitukana Simba mwaka jana kwamba imeshiriki kombe la looser, haya sasa hilo hapo. Hapo bado hatujui kama mtashiriki au mtatolewa playoff. Nawaombea mpangiwe timu ngumu kama Berkane au Pyramids mpigwe tena ili tuendelee kufurahi.

Wenzetu wanasema tuwasamehe. Nami nawauliza ni lini mliomba msahama?
 
Watu huambiwa ukizungumza acha akiba ya maneno. Manara alikuwa anainanga Simba ilipoingia kombe la shirikisho kwamba ni kombe la walioshindwa! Sasa timu yake ya uto imeangukia huko. Je, atabadili kauli?

 
Yaani unaweza usimjibu manara kwa maneno yako ikawa akiongea tu unatupia video na sauti zake kipindi yupo Simba, majibu ya Haji wa Simba Sc yanajibu hoja zote za haji wa yanga.

Akiwa Simba Sc;
1. Mungu ana Mambo mengi hawezi kusikiliza dua za utopolo za Mambo ya mpira.
[emoji117] Leo hii; Ee yallaabi, Mwenyezi Mungu tujaalie ushindi katika mechi yetu[emoji1787][emoji1787]

2. Yanga hawajui kucheza mechi za kimataifa na hawawezi kufika popote.
[emoji117] Leo hii ( miezi michache iliyopita), Yanga ndiyo klabu kubwa na malengo yetu ni fainali ya CAFCL kwa sababu tushasajili kuliko klabu yoyote Tanzania [emoji1][emoji1][emoji1]

Ongeza kauli halisi na za ukweli akiwa Simba Sc kabla hajaenda utopoloni ambako wenye akili ni wawili tu yaani Sunday manara computer na jk pekee!
 
Football haipo vile tunavyodhani Sisi huku mtaani, wala sio mchezo wenye guarantee ya matokeo utakayo wewe.

Watu wa kisasa wanasema ni mchezo katili, ila tuongezee na bahati, tusipoipata hii na kukubali pia kuna Mipango ya Mungu, tutakuwa hatuitendei haki football yetu.

Rudini mjipange na linalokuja Wachezaji wetu, msihisi Dunia imewaangukia nyie, mna nafasi ya kurejesha heshma yenu wiki ijayo na kurejesha furaha yetu, Uwezo huo mnao, ni fursa adhimu ya kuthibitisha mliteleza na hamkuanguka.

Nawasihi sana sahauni ya Sudan, rejesheni ari na nguvu Jumapili ijayo kisha msubirie kombe la Shirikisho.

Bado tuna Imani na nyie na tunajua mtatufurahisha next weekend Insha'Allah [emoji120]
 
Ndioooooo
Screenshot_20221017-223511_Facebook.jpg
 
Kocha Nabi yeye hana uwezo na timu za nje ila size yake ni gwambina, kitayosa, nk

Ukimletea timu kutoka nje ata kama ni timu daraja la kwanza mmepigwa kweupe iwe kwa Mkapa Au popote

Kacheza michezo mingi ya kujipima nguvu na timu za nje lakini kachezea vichapo na sare

Kama akibahatika kupita ktk hatua ya makundi basi watafungwa vibaya vibaya

Nabi size yake mlandege ya zanzibar Au mchamba wima fc
 
Back
Top Bottom