Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Lakini uhalisia wake ni lazima uwekwe bayana ili wasiomjua wamjueBasi tukubaliane tu kwa pamoja kumpuuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini uhalisia wake ni lazima uwekwe bayana ili wasiomjua wamjueBasi tukubaliane tu kwa pamoja kumpuuza.
Acha kulikashifu jina la Mwenyezi Mungu kwa vitu vya kijinga. Utakuja kufa kifo kibaya sana mkurugenzi.Huyo ni Mungu wenu wana Yanga, sisi tupo hapa kuwapunguzia kasi ya kumuabudu, kwakua kila anachokisema mnakiamini, sisi tupo hapa kuwakumbusha kuwa msiziamini sana kauli zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sehemu nilipolikashifu jina la Mwenyezi Mungu, lakini pia hata ingekuwa hivyo bado hilo swala haliwezi na halitakuja kuingiliana na swala la mtu kufa kifo kizuri au kibaya.Acha kulikashifu jina la Mwenyezi Mungu kwa vitu vya kijinga. Utakuja kufa kifo kibaya sana mkurugenzi.
EehAcha kulikashifu jina la Mwenyezi Mungu kwa vitu vya kijinga. Utakuja kufa kifo kibaya sana mkurugenzi.
👀Hata hilo kombe la losers hawezi kutoboa maana uto ni mbovu kuliko hao losers!! Afadhali simba ilifika hadi robo fainali lakini uto hatoboi hata hawezi kuingia hatua ya makundi!
Mwasibu again!! Ona sasa umeisababishia timu yako kuangukia kwenye hili Kombe la Looser!! 😁View attachment 2389853
"Kombe la shirikisho ni kombe la loser, hata kama jana Yanga ingeshinda hata siyo Ishu. Siyo Champions League ile."
Simba wote tumefurahi sana Yanga kupigwa. Tuna sababu za msingi kufurahi. Video hapo juu ni moja ya sababu. Mmeacha watu wenu wanaropoko kama wehu, halafu leo mnataka tuwaombee mema, haiwezekani.
Mliitukana Simba mwaka jana kwamba imeshiriki kombe la looser, haya sasa hilo hapo. Hapo bado hatujui kama mtashiriki au mtatolewa playoff. Nawaombea mpangiwe timu ngumu kama Berkane au Pyramids mpigwe tena ili tuendelee kufurahi.
Wenzetu wanasema tuwasamehe. Nami nawauliza ni lini mliomba msahama?
Dah! Hili swali Mwasibu uliniuliza tarehe 19 Oktoba, 2022!!Baada ya hapo tuambie mnashiriki kombe la luza?
Wewe mwakani kacheze shirikishoYaani unaweza usimjibu manara kwa maneno yako ikawa akiongea tu unatupia video na sauti zake kipindi yupo Simba, majibu ya Haji wa Simba Sc yanajibu hoja zote za haji wa yanga.
Akiwa Simba Sc;
1. Mungu ana Mambo mengi hawezi kusikiliza dua za utopolo za Mambo ya mpira.
[emoji117] Leo hii; Ee yallaabi, Mwenyezi Mungu tujaalie ushindi katika mechi yetu[emoji1787][emoji1787]
2. Yanga hawajui kucheza mechi za kimataifa na hawawezi kufika popote.
[emoji117] Leo hii ( miezi michache iliyopita), Yanga ndiyo klabu kubwa na malengo yetu ni fainali ya CAFCL kwa sababu tushasajili kuliko klabu yoyote Tanzania [emoji1][emoji1][emoji1]
Ongeza kauli halisi na za ukweli akiwa Simba Sc kabla hajaenda utopoloni ambako wenye akili ni wawili tu yaani Sunday manara computer na jk pekee!
Inasikitisha sana 🤣😁😂🤣🤣Mwasibu again!! Ona sasa umeisababishia timu yako kuangukia kwenye hili Kombe la Looser!! 😁
Simba SC ni timu mbovu sana 😁🤣🤣😁Kasemaje kuhusu kombe la luza
Aaahhh Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa tunasubiria ufike fainali ya Kombe la Loosers ndo uje humu.View attachment 2389853
"Kombe la shirikisho ni kombe la loser, hata kama jana Yanga ingeshinda hata siyo Ishu. Siyo Champions League ile."
Simba wote tumefurahi sana Yanga kupigwa. Tuna sababu za msingi kufurahi. Video hapo juu ni moja ya sababu. Mmeacha watu wenu wanaropoko kama wehu, halafu leo mnataka tuwaombee mema, haiwezekani.
Mliitukana Simba mwaka jana kwamba imeshiriki kombe la looser, haya sasa hilo hapo. Hapo bado hatujui kama mtashiriki au mtatolewa playoff. Nawaombea mpangiwe timu ngumu kama Berkane au Pyramids mpigwe tena ili tuendelee kufurahi.
Wenzetu wanasema tuwasamehe. Nami nawauliza ni lini mliomba msahama?