Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 853
Kwa hiyo Zalan ni timu ya ndani?Kocha Nabi yeye hana uwezo na timu za nje ila size yake ni gwambina, kitayosa, nk
Ukimletea timu kutoka nje ata kama ni timu daraja la kwanza mmepigwa kweupe iwe kwa Mkapa Au popote
Kacheza michezo mingi ya kujipima nguvu na timu za nje lakini kachezea vichapo na sare
Kama akibahatika kupita ktk hatua ya makundi basi watafungwa vibaya vibaya
Nabi size yake mlandege ya zanzibar Au mchamba wima fc
View attachment 2389853
"Kombe la shirikisho ni kombe la loser, hata kama jana Yanga ingeshinda hata siyo Ishu. Siyo Champions League ile."
Simba wote tumefurahi sana Yanga kupigwa. Tuna sababu za msingi kufurahi. Video hapo juu ni moja ya sababu. Mmeacha watu wenu wanaropoko kama wehu, halafu leo mnataka tuwaombee mema, haiwezekani.
Mliitukana Simba mwaka jana kwamba imeshiriki kombe la looser, haya sasa hilo hapo. Hapo bado hatujui kama mtashiriki au mtatolewa playoff. Nawaombea mpangiwe timu ngumu kama Berkane au Pyramids mpigwe tena ili tuendelee kufurahi.
Wenzetu wanasema tuwasamehe. Nami nawauliza ni lini mliomba msahama?
24 years GROUP STAGE ?????Football haipo vile tunavyodhani Sisi huku mtaani, wala sio mchezo wenye guarantee ya matokeo utakayo wewe.
Watu wa kisasa wanasema ni mchezo katili, ila tuongezee na bahati, tusipoipata hii na kukubali pia kuna Mipango ya Mungu, tutakuwa hatuitendei haki football yetu.
Rudini mjipange na linalokuja Wachezaji wetu, msihisi Dunia imewaangukia nyie, mna nafasi ya kurejesha heshma yenu wiki ijayo na kurejesha furaha yetu, Uwezo huo mnao, ni fursa adhimu ya kuthibitisha mliteleza na hamkuanguka.
Nawasihi sana sahauni ya Sudan, rejesheni ari na nguvu Jumapili ijayo kisha msubirie kombe la Shirikisho.
Bado tuna Imani na nyie na tunajua mtatufurahisha next weekend Insha'Allah [emoji120]View attachment 2390535
Mliitukana Simba mwaka jana kwamba imeshiriki kombe la looser, haya sasa hilo hapo. Hapo bado hatujui kama mtashiriki au mtatolewa playoff. Nawaombea mpangiwe timu ngumu kama Berkane au Pyramids mpigwe tena ili tuendelee kufurahi.[emoji23]View attachment 2389853
"Kombe la shirikisho ni kombe la loser, hata kama jana Yanga ingeshinda hata siyo Ishu. Siyo Champions League ile."
Simba wote tumefurahi sana Yanga kupigwa. Tuna sababu za msingi kufurahi. Video hapo juu ni moja ya sababu. Mmeacha watu wenu wanaropoko kama wehu, halafu leo mnataka tuwaombee mema, haiwezekani.
Mliitukana Simba mwaka jana kwamba imeshiriki kombe la looser, haya sasa hilo hapo. Hapo bado hatujui kama mtashiriki au mtatolewa playoff. Nawaombea mpangiwe timu ngumu kama Berkane au Pyramids mpigwe tena ili tuendelee kufurahi.
Wenzetu wanasema tuwasamehe. Nami nawauliza ni lini mliomba msahama?
Yaani unaweza usimjibu manara kwa maneno yako ikawa akiongea tu unatupia video na sauti zake kipindi yupo Simba, majibu ya Haji wa Simba Sc yanajibu hoja zote za haji wa yanga.
Akiwa Simba Sc;
1. Mungu ana Mambo mengi hawezi kusikiliza dua za utopolo za Mambo ya mpira.
[emoji117] Leo hii; Ee yallaabi, Mwenyezi Mungu tujaalie ushindi katika mechi yetu[emoji1787][emoji1787]
2. Yanga hawajui kucheza mechi za kimataifa na hawawezi kufika popote.
[emoji117] Leo hii ( miezi michache iliyopita), Yanga ndiyo klabu kubwa na malengo yetu ni fainali ya CAFCL kwa sababu tushasajili kuliko klabu yoyote Tanzania [emoji1][emoji1][emoji1]
Ongeza kauli halisi na za ukweli akiwa Simba Sc kabla hajaenda utopoloni ambako wenye akili ni wawili tu yaani Sunday manara computer na jk pekee!
Alieishauri Yanga ifanye trials na Kibada Kombaini na Mbuni FC wakati Al Hilal inafanya trial na TP Mazembe ndie alieipoteza Yanga.Kocha Nabi yeye hana uwezo na timu za nje ila size yake ni gwambina, kitayosa, nk
Ukimletea timu kutoka nje ata kama ni timu daraja la kwanza mmepigwa kweupe iwe kwa Mkapa Au popote
Kacheza michezo mingi ya kujipima nguvu na timu za nje lakini kachezea vichapo na sare
Kama akibahatika kupita ktk hatua ya makundi basi watafungwa vibaya vibaya
Nabi size yake mlandege ya zanzibar Au mchamba wima fc
KabisaMpira hautaki maneno marahisi na matamu kama ya manara
Mpira unataka commitment ya kweli bila mawaa
Mosie Tate Mkuu sio kumkubali bali ni huu ni mshindo nyuma(feedback) kuonesha asivyoaminika na kauli zakeMashabiki wa simba bado mnamkubali sana Haji Manara! Yaani hata akikohoa tu, basi lazima mkimbie mbio kuja kumuanzishia uzi.
Baada ya hapo tuambie mnashiriki kombe la luza?Mashabiki wa simba bado mnamkubali sana Haji Manara! Yaani hata akikohoa tu, basi lazima mkimbie mbio kuja kumuanzishia uzi.
Ni wakala wetu ndani ya UtopoloMashabiki wa simba bado mnamkubali sana Haji Manara! Yaani hata akikohoa tu, basi lazima mkimbie mbio kuja kumuanzishia uzi.
Kama umefikia hatua ya kuamini kwamba hakuna anaeweza kumpiga mkwara Manara, basi utakuwa ni wa kufugwa tu pahala fulani nchini.Wewe kunguru ndy umpige mkwara manala?
Huyo ni Mungu wenu wana Yanga, sisi tupo hapa kuwapunguzia kasi ya kumuabudu, kwakua kila anachokisema mnakiamini, sisi tupo hapa kuwakumbusha kuwa msiziamini sana kauli zake.Mashabiki wa simba bado mnamkubali sana Haji Manara! Yaani hata akikohoa tu, basi lazima mkimbie mbio kuja kumuanzishia uzi.