Manase fast courier
JF-Expert Member
- Mar 23, 2021
- 571
- 336
- Thread starter
- #201
Safi hii
asante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi hii
Tanueni wigo njooni mpka mtwara tufanye kazi nina stoo
Mnafanya Clearing pia?Bandarini na airport?
Hapo ndipo gharama huongezeka.Ukisafirisha mzigo kupitia DHL unalipa airfreight charges/shipment costs na tariffs za serikali tu(Import duties,TBS, etc etc).Baada ya hapo wenyewe wanafanya clearance with zero cost!.Manake hapo watu wa clearance hukosi kuwalipa kati ya 300K-400K.hapana clearing tuna agents wanatufanyia
Hapo ndipo gharama huongezeka.Ukisafirisha mzigo kupitia DHL unalipa airfreight charges/shipment costs na tariffs za serikali tu(Import duties,TBS, etc etc).Baada ya hapo wenyewe wanafanya clearance with zero cost!.Manake hapo watu wa clearance hukosi kuwalipa kati ya 300K-400K.