Manase Fast Courier kusafirisha mizigo duniani kote, mikoani kwa haraka mpaka mlangoni kwako

hapana clearing tuna agents wanatufanyia
Hapo ndipo gharama huongezeka.Ukisafirisha mzigo kupitia DHL unalipa airfreight charges/shipment costs na tariffs za serikali tu(Import duties,TBS, etc etc).Baada ya hapo wenyewe wanafanya clearance with zero cost!.Manake hapo watu wa clearance hukosi kuwalipa kati ya 300K-400K.
 

same here mkuu sema tulkuwa hatujaelewana....nlijua labda unagari liko bandarini hivi na unataka litoke...hapo tunatumia ma agents wetu....ila kwa mizigo ww unalipia nauli tu vingne tunafanya bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…