Manchester United kuna mapungufu gani mpaka tunafungwa?

Manchester united inavyonifany kma nimapacha n Tanzania haki ya mama vile
 
Sijaelewa ni kivipi hii inakuwa sticky thread!!!
 
mods kwani hii mi sticky thread, kwa u special gani wa hii thread mpaka iwe sticky
 
Reactions: PNC
mods kwani hii ni sticky thread, kwa u special gani wa hii thread mpaka iwe sticky
 
Reactions: PNC
Invisible Paw Moderator kwa nini huu uzi uwe stik hamuoni huu ni upendeleo wa wazi BARCA imechukua Trebo lakini hakijafanyika kitu kama hiko Yokobus kashika nafas ya 10 ila hakijafanyika leo hawa nyumbu ndio wanawekewa uzi HUU NI UPENDELEO
 
Tuvumilie timu itatulia na hakuna atakayetushika tusife moyo kama timu ndogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…