ebwana nilikua sipo online ruka na hiiShusha link mzee wa phase 5.
Wahuni wamezima saa 1 kamili
Kuna wachezaji wake ni empty kabisa. Inatakiwa aende naoHuyu UGARTE ni kabila gani???? Mbona huyu ETH katuachia majanga hivi.
Kuna wachezaji wake ni empty kabisa. Inatakiwa aende nao
Kipara hahusiki na usajili wa UGARTE.Huyu UGARTE ni kabila gani???? Mbona huyu ETH katuachia majanga hivi.
Huyu Ugarte kuna wasiwasi leo atakula umeme. Yellow card ya pili inamnyemelea.Kuna wachezaji wake ni empty kabisa. Inatakiwa aende nao
Sawa gigy moneyManyumbu sasa huu moto mtakaopelekewa ni wa kuomba maji
Lazima uwe na mbadala mkuu. Mie nimeshindwa kabisa.Huu ni wakati wa mimi sasa kuacha kufuatilia mpira.
Huyu Ugarte kuna wasiwasi leo atakula umeme. Yellow card ya pili inamnyemelea.
Wachezaji wa utd ni kama hawajiamini kila wakishika mpira ni kama wanatetemeka na hawajui wapi pakupeleka wanahitaji mwanasaikolojia. Embu angalia jinsi Garnacho alivyopoteza nafasi leo unamlaumuje kocha. Hamad anapaswa kupewa nafasi angalau anaweza kudribble, kufinya, na kutoa pass.Nimeangalia msimamo wa ligi baada ya mechi, naweza kubashiri kwa 99.9% kwamba zile timu zote zilizoko top 10 hakuna ambayo tutaishusha/kuifunga comfortably.
Amorin and kazi ya kufanya sio ya kitoto.
Nikifiria kocha mpya anakuja kufundisha hawa washambuliaji nakata tamaaWachezaji wa utd ni kama hawajiamini kila wakishika mpira ni kama wanatetemeka na hawajui wapi pakupeleka wanahitaji mwanasaikolojia. Embu angalia jinsi Garnacho alivyopoteza nafasi leo unamlaumu kocha.
KabisaSiku Rashford akiondolewa United, nitafurahi sana kwa kweli.
Amorin akiwa anampanga regularly, nitajua naye hatakuwa na jipya kama akina EtH tu.
Eneo pekee ambalo naweza kusema tupo vizuri kwa kuangalia ubora na ufundi kwa mchezaji mmoja mmoja ni eneo la ulinzi.Siku Rashford akiondolewa United, nitafurahi sana kwa kweli.
Amorin akiwa anampanga regularly, nitajua naye hatakuwa na jipya kama akina EtH tu.