Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 704
- 1,331
Hapana kikubwa ni kuwa top fourKwa mwendo tunaokwenda ni vigumu kufikisha points 50
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kikubwa ni kuwa top fourKwa mwendo tunaokwenda ni vigumu kufikisha points 50
Kilichotokea ni kwamba,huyo ndio alikuwa mrithi wa klopp.Naomba mwenye kufahamu sifa za ziada za Ruben Amorim, atuwekee hapa
Kijana wa miaka 39 kaaminiwa timu kubwa
Je mnakumbuka mlisema kuwa kuna mwalimu alikuja hapo kwenu kamfundisha kloop na tuchel kilichomkuta mnakijua wenyeweKilichotokea ni kwamba,huyo ndio alikuwa mrithi wa klopp.
Matajiri wa Liverpool walitaka analysis ya makocha 8, waaangaliwe kwenye ubora wa kila kipengere kwa vipengere Vilivyowekwa nitakuletea article hiyo ilipostiwa na bbc.
Huyo mwamba alikuwa ana namba kubwa kumkaribia klopp,akawaacha mwenzake mbali sana.
Sasa Man U hawakutaka tena kuumiza kichwa maana Liverpool walisha muweka wazi ubora wake.
Tukiwa tuna jadiri vitu muwe mnapita kuchungulia mara moja moja huko kwenye majukwaa mengine kama jukwaa la Liverpool.
Issue ya Ruben tulishaijadili zamani sana wakati klopp anaondoka sasa tuanze kutafuta mafile tena duh.
Nikiipata hiyo article ya ubora wake nitaiweka.
Kwamba kati ya Liverpool, Man City, Arsenal, Aston Villa, Tottenham, Forest, Brighton na Chelsea ni team gani umeona nyie nyumbu mnaweza kukaa juu yake ili angalau mmalize ndani ya top 10?Hapana kikubwa ni kuwa top four
Kwasasa tumedharaulika sana. Hata maswali kama hili yanaulizwa kwa MUFC.Kwamba kati ya Liverpool, Man City, Arsenal, Aston Villa, Tottenham, Forest, Brighton na Chelsea ni team gani umeona nyie nyumbu mnaweza kukaa juu yake ili angalau mmalize ndani ya top 10?
[emoji16][emoji16][emoji16] kuna watu wana roho mbaya[emoji599]BREAKING: Manchester United have sacked Ruben Amorim.
Sorry, just practicing for January.
Dogo Garnacho jana ndio alikuwa kama mlevi. shenzi kabisa hivi vitoto.Rashford na garnacho wanapokezana kutuchaganya, yaan akipona huyu mwenzake anapokea.
Lakini tutafika.
Na usajili mzuri inakuja.
amorim anawatembezea libolo la kufa mtu[emoji23]City anateseka huko
Hahahhahaamorim anawatembezea libolo la kufa mtu[emoji23]
FinishedNatamani kesho kumuona mwana wa nyumbani akikanyaga nyasi za "The Theatre of Dreams" angalau kwa dk kadhaa tu.
Mbwana Samatta, shabiki lialia wa Manchester United kesho atakuwepo matofali ya kuchoma.
Rashford, Garnacho na Bruno wanapaswa kuwa wachezaji wa akiba ndio wanaokwamisha project ya timu na kama huyu kocha anayekuja akiwaintertain na yeye ataonekana kama Gamondi tu na watamfukuzisha.Rashford na garnacho wanapokezana kutuchaganya, yaan akipona huyu mwenzake anapokea.
Lakini tutafika.
Na usajili mzuri inakuja.