Ten hag hakuwa Mwl mbaya tatizo wachezaji waliamua kamgomo baridi.Hii shida imekuwepo kipindi kirefu sana hasa kwa wachezaji seniors.
 
Ten hag hakuwa Mwl mbaya tatizo wachezaji waliamua kamgomo baridi.Hii shida imekuwepo kipindi kirefu sana hasa kwa wachezaji seniors.
Huo mgomo kwa makocha zaidi ya 3 kwann hao wachezaji hawa ondolewi
 
Designer wa statements hizo yupo vizuri. Ambacho hatujui ni kama biashara ya kuajiri makocha itaishia hapa au itaendelea. Maana shida nyingine kubwa ipo kwa wachezaji. Wanafanya kama migomo hivi. Amorim aondoe wote, aache akina Amad tu.
R.R aliwaambia wawaaondoe wote kosa la ten hag ni kumbakisha Rushford,dalot,Bruno.

Unaona Bruno alivuyojisababishia red card? Still anampanga kila game. Alipashwa kuwatumia graduate akiwa ana buy time ununuawegine.

Alifanikiwa kumuondoa Ronaldo, na wengine kosa lake alijiaminisha sana kuwa hatafukuzwa. Hakuutumia uhuru wa kuimaamuzi.....angewaambia tu Rushford hayupo ktk mipango, Bruno alimng'ang'ania sana.
 
Uongozi wa united ulifanya haraka sana kumleta kocha mpya nadhani wangempa nafasi Ruud ya kuonesha alichonacho maana ni mtu anaechukua hatua kwa wachezaji ambao wanaigharimu team

Leo Garnacho kala mkeka
 
Brunooooo
 

Attachments

  • Screenshot_20241110_174026_BeSoccer.jpg
    132.7 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…