Huyu ni kisinda aliyechangamka...mimbio tu.Garnacho akipunguza uchoyo atatengeneza magoli mengi
Mtoto mshenzi sana, Dialo anafungua vizuri but anamnyimaHuyu ni kisinda aliyechangamka...mimbio tu.
Hua nashangaa sana hizi timu. Naona wanaugua ugonjwa wa akili..timu yako ina pointi 9 eti unakutana na man utd unaikazia ndo unajifanya kucheza kwa speed na patern ..naona hii ni kuoshea tu hawana uwezo wowote, wangekua wanacheza hivi wangekua huko top 3 wanagmbania top 3 na akina liverpool..Tumezidiwa, jamaa wana press balaa
Hadi Antony?Hua nashangaa sana hizi timu. Naona wanaugua ugonjwa wa akili..timu yako ina pointi 9 eti unakutana na man utd unaikazia ndo unajifanya kucheza kwa speed na patern ..naona hii ni kuoshea tu hawana uwezo wowote, wangekua wanacheza hivi wangekua huko top 3 wanagmbania top 3 na akina liverpool..
Tukirud kwa man utd timu nzima inatakiwa kufukuzwa ama aachwe Diallo tu. ..fukuza takaktaka zote.