Luke Shaw is injured again & not part of the travelling squad to London.

=======
Amemkimbia bukayo saka?
LCB atacheza nani kati ya hawa..
  1. Jonny evans
  2. Harry maguire
  3. Godwill Kukonki
 
Nyumbu game ya leo inabidi mjiandae kiisaikolojia na muwe wapile sana.
Yatakua makosa makubwa sana kumpima Amorim katka game ya leo

Viwango vya wachezaji wenu kwenye game ya leo, haitakua kipimo sahihi kuwajaji, rashford anakua muhanga sana
Amad ni mchezaji mzuri sana lakin sio kwa game ya leo

NB
Mkitaka kupisha, hivi ndio tutakua tunatembea. Na kama mnavyojua hamna kipa golini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…