Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Ruud van Nistelrooy alimshinda Steve Cooper mara mbili ndani ya wiki moja, akasababisha Cooper kutimuliwa halafu nafasi yake akachukua yeye.
1733320667476.jpg
 
16 year old defender Godwill Kukonki, involved again by Amorim as part of Man United squad to face Arsenal.

Lisandro Martinez is suspended, Luke Shaw injured and Kukonki is part of #MUFC squad.
IMG_4518.jpeg
 
Nyumbuzi mkiwa mnafikiria namna gani hii dhahama tunaikwepa

Flano yupo bize kutoa mbinu za kuwapata mishangazi (wadada waliomzidi umri)
[emoji2][emoji2][emoji2]

IMG-20241204-WA0010.jpg
 
Tazama hii, hapo awali walishindwa kupata ushindi zidi ya prophet amorim. Game ya leo hawato amini watakacho kiona.
64F93683-883F-43B4-A307-FE86B694C99C.jpeg


zandaaani kabisa inasemekana prophet ameomba haya mbele ya tajiri mwembamba...

"asipo ifunga arsenal gori zaidi ya 2, kabla ya ku resign atundikwe uchi pale Carrington training ground kwa muda wa wiki 3 sambamba na kunyolewa kipara"

Inasemekana lakini!!!
 
Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys kinashuka kwenda kuwakanda Wenger orphans hawa.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Arsenal1 vs Manchester united 3

Leo ni leo asie na mwana abebe jiwe.

Leo tunawakanda Wenger orphans baadae tutaona mengi sana leo utasikia "Arteta out" Arteta must go😁😁

Kiufupi leo itakuwa
 

Attachments

  • 20241204_203957.jpg
    20241204_203957.jpg
    84.3 KB · Views: 5
Nyumbu game ya leo inabidi mjiandae kiisaikolojia na muwe wapile sana.
Yatakua makosa makubwa sana kumpima Amorim katka game ya leo

Viwango vya wachezaji wenu kwenye game ya leo, haitakua kipimo sahihi kuwajaji, rashford anakua muhanga sana
Amad ni mchezaji mzuri sana lakin sio kwa game ya leo

NB
Mkitaka kupisha, hivi ndio tutakua tunatembea. Na kama mnavyojua hamna kipa goliniView attachment 3168676
Na muhindi wa Betting ndio anawapiga hela kwa akili za hivi wajinga nyie.
 
Utabiri wangu Arsenal 1 - 2 Manchestet united.
Siendi kuingalia hiyo game, lakini kesho mutaniambia.
GGMU
 
Tazama hii, hapo awali walishindwa kupata ushindi zidi ya prophet amorim. Game ya leo hawato amini watakacho kiona.
View attachment 3169035

zandaaani kabisa inasemekana prophet ameomba haya mbele ya tajiri mwembamba...

"asipo ifunga arsenal gori zaidi ya 2, kabla ya ku resign atundikwe uchi pale Carrington training ground kwa muda wa wiki 3 sambamba na kunyolewa kipara"

Inasemekana lakini!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nyumbuzi mkiwa mnafikiria namna gani hii dhahama tunaikwepa

Flano yupo bize kutoa mbinu za kuwapata mishangazi (wadada waliomzidi umri)
[emoji2][emoji2][emoji2]

View attachment 3169016
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Subiri kikishawaramba tunawaomba msilikimbie jukwaa lenu, leo ni siku yetu ya kupunguza gape la points3 dhidi ya Arsenyau.
 
Utabiri wangu Arsenal 1 - 2 Manchestet united.
Siendi kuingalia hiyo game, lakini kesho mutaniambia.
GGMU
Kuna UGARTE na MALACIA wameanza, ushindi utakuwa kama bahati tu. AMAD nadhani atakuwa anaumwa au ana fatigue, sio mtu wa kuanzia benchi.
 
Back
Top Bottom