Nyumbu lazima mchangie points 6, labda mtufunge kwenye FA lakini sio leo[emoji23][emoji23][emoji23] bado hamjasema, leo mtaliwa kimasihara na hamtaani mmeliwaje kiulaini namna hio.
Maghalaes leo hayupo tunawaachieni tu mpige kona idadi mnazozitaka.
Game ikoje wakuu?..huku niliko baridi, siwezi enda kibanda umizaMalacia out