Manjesta mmeshakuwa mteja wetu

Kama kunywa maji tu ,tunajipigia tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Arteta vs Manjesta

Mechi 10
Win 7
Draw 1
Lost 2

Mlimzoea Wenger anawachekea ,

Arteta hacheki na manjesta,ni anawabonda tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kamdomooo
Kamdomo ndio kanakowaponza, miaka 20 bila Epl, kamdomo kamewafanya toka timu ianzishwe hakuna kombe lolote la ulaya sio Uefa, Europa wala Conference league mloshinda, kamdomo ndio kamesababisha Arteta msimu wa 8 huu na Arsenyo hakuna kombe lolote aliloshinda zaidi ya Mwanafa.
Kamdomooo, kamdomooo, kamdomooo.
 
Huyu nae....
 
Ila kuwatwanga Man U huwa kuna raha sana...mechi ya nne mfululizo tukikutana ni makonzi ya ulimi tu mnapata.....safari hii mkapigwa kwa style mpya ya Kona goli🀠🀠🀠....Kuna kipindi cha mzee Wenger Ferguson alishawahi kutupangia timu yake kuanzia namba 2 mpk 11 wte ni mabeki tupu na mkatufunga ile iliniuma sana.....Sasa kibao kimegeuka....bdo January tuna jambo letu na nyny tena.....kajifundisheni kuzuia Kona tena upya halafu mje vinginevyo mtatulaumu tena tu majirani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haka nako pia ni kamdomooo
 
Kijukuu cha vasco da gama kimesema nawajua wachezaji wangu ipo siku itatokea dhahama🀣🀣🀣🀣

Anwshakaa nao mazoezini anajua timu imeoza
 
Mlishaambiwa hakunaga muhindi akawa kocha wa football!! mkakaza fuvu!
Haya sasa ona jinsi mnavyodhalilishwa tena mpo nyumbani,mbele ya wake zenu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…